Mkuu Ng'wana, kwanza pole!, kusita kusoma kitu pia ni kususa, au kuzira!, na mwisho, haya maneno uliyaona kwenye bandiko hili
"
Kuna Tabia za Kike na Tabia za Kiume
Kwa hapa naomba kwanza kuomba radhi wanawake wote, ni mama zetu, bibi zetu, shangazi zetu, shemeji zetu, wake zetu, wachumba wetu, wapenzi wetu na binti zetu, samahanini sana, ukizaliwa mwanamke uanamke wako sio tuu ni yale maumbile ya kike, bali hormones, tabia, mwenendo na thinking. Tofauti kubwa ya mwanamke na mwanaume zaidi ya sex organs ni emotions and reactions katika situations mbalimbali, ndio maana wewe mwanaume ukifiwa hata na baba yako mzazi, unapigiwa simu unaelezwa, na mwanamke, unauliza kwanza yuko wapi, kama yuko sokoni, utasubiri arudi nyumbani. Baadhi ya tabia kama kulia kwa sauti na kujigalagaza, kuwa na tabia za umbeya, uoga, etc, kunaelezwa ni tabia za kike, hata mtoto wa kiume akililia lia, anaambia usililie lie kama mwanamke. Baadhi ya tabia za kulia lia katika siasa, ni tabia za kike, wanaume wao wamefundishwa kupambana na sio kulia lia!"
Yanamaanisha nini?.
P.