Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Kwaio unataka kusema tume ya uchaguzi ni huru lakini hapo hapo unasema kuna changamoto za hapa na pale ambazo kimsingi zinaleta athari juu ya matokeo ya uchaguzi i.e. mshindi ni yule atakae tangazwa na tume, pia matokeo ya uraisi hayatahojiwa sehemu yeyote ile, tatu mawakala wa upinzani kuzuiwa nje daah kweli paskali amekua kilaza
 
Naweza nikahisi kuwa ile kamati ilipokuita ilikupa ToR za kuandika haya Maswali yako. Na nakumbuka yule Mzee aliposema Jina lako kwa Lugha ya Kisukuma linamaanisha njaa alimaanisha alichokuwa amemaanisha. Kwa platform ile na kwa swali ulilomuuliza kujibu kuwa wewe jina lako la ukoo maana yake njaa alikufahamu vizuri. Sasa ni wakati wako wa kuitibu njaa. itibu salama
Miongoni mwa vitu vinavyokwamisha taifa letu ni pamoja na uwezo mdogo wa wananchi wetu kufanya uchambuzi yakinifu ndio maana tunanunua ndege ya starehe ikituletea hasara na kujenga SGR ya kuzalisha faida miaka 20 ijayo, badala ya kuwekeza kwenye kilimo, huku tukiagiza mchele, sukari na mafuta ya kula badala ya kuzalisha!.

Vivyo hivyo unaulizwa swali, badala ya kujibu, unatoa tafsiri ya jina!. Mada kwenye bandiko hili ni kususa, kuzira na kugoma, jadili mada, usijadili jina la mtoa mada au hali yake kama ana njaa au ameshiba!. Jadili hoja iliyopo mezani. Ukiona jina la mtu nalo ni mada ya kujadili, lifungulie thread, tutachangia.

P
 
Jaimee unaamini njia zinazotumika na vyama pinzani zinaweza wapatia haki zao katika chaguzi zijazo ? Kwa kuzingatia matukio ya nyuma na njia chadema walizotumia kudai haki zao, unadhani njia hizo ni sahihi ? Ikiwemo kususia chaguzi, kutoka katika vipindi vya bunge, kutohudhuria kuapishwa kwa raisi n.k. njia hizi zimewapa manufaa gani ? Na unadhani zikiendelea zitawapa manufaa yapi ? Kwa mtazamo wako, ukivaa viatu vya mheshimiwa mbowe, ungeweza tumia njia gani tofauti na hizi ili kupata haki za kisiasa ?
Hata kama Haita saidia kutokana na ukandamizaji unaondelea dhidi ya viongozi na hata kwa wanachama wa vyama vya upinzani, lakini jambo LA muhimu ni kufikisha ujumbe kwa wananchi na hata jumuia za kimataifa wajue ni nini kinacho endelea Tz.
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.


My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.


1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.


Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.


Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'

Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.

Wasalaam.

Paskali

Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.


Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums

Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums

Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums
Mayala tatizo la tume si mkurugenzi bali ni wanaccm wanaosimamia uchaguzi kwani hata maelekezo ya kumtangaza mshindi walipewa wanaosimamia na kutangaza matokeo. Gari huendeshwa na injini (mkurugenzi) lakini hakuna hata siku moja imedhutumiwa kusababisha ajari.
 
nimesita kusoma hili bandiko kwa sababu kichwa cha habari kinadharau wanawake.
Mkuu Ng'wana, kwanza pole!, kusita kusoma kitu pia ni kususa, au kuzira!, na mwisho, haya maneno uliyaona kwenye bandiko hili
"
Kuna Tabia za Kike na Tabia za Kiume
Kwa hapa naomba kwanza kuomba radhi wanawake wote, ni mama zetu, bibi zetu, shangazi zetu, shemeji zetu, wake zetu, wachumba wetu, wapenzi wetu na binti zetu, samahanini sana, ukizaliwa mwanamke uanamke wako sio tuu ni yale maumbile ya kike, bali hormones, tabia, mwenendo na thinking. Tofauti kubwa ya mwanamke na mwanaume zaidi ya sex organs ni emotions and reactions katika situations mbalimbali, ndio maana wewe mwanaume ukifiwa hata na baba yako mzazi, unapigiwa simu unaelezwa, na mwanamke, unauliza kwanza yuko wapi, kama yuko sokoni, utasubiri arudi nyumbani. Baadhi ya tabia kama kulia kwa sauti na kujigalagaza, kuwa na tabia za umbeya, uoga, etc, kunaelezwa ni tabia za kike, hata mtoto wa kiume akililia lia, anaambia usililie lie kama mwanamke. Baadhi ya tabia za kulia lia katika siasa, ni tabia za kike, wanaume wao wamefundishwa kupambana na sio kulia lia!"

Yanamaanisha nini?.
P.
 
Mkuu Ng'wana, kwanza pole!, kusita kusoma kitu pia ni kususa, au kuzira!, na mwisho, haya maneno uliyaona kwenye bandiko hili
"
Kuna Tabia za Kike na Tabia za Kiume
Kwa hapa naomba kwanza kuomba radhi wanawake wote, ni mama zetu, bibi zetu, shangazi zetu, shemeji zetu, wake zetu, wachumba wetu, wapenzi wetu na binti zetu, samahanini sana, ukizaliwa mwanamke uanamke wako sio tuu ni yale maumbile ya kike, bali hormones, tabia, mwenendo na thinking. Tofauti kubwa ya mwanamke na mwanaume zaidi ya sex organs ni emotions and reactions katika situations mbalimbali, ndio maana wewe mwanaume ukifiwa hata na baba yako mzazi, unapigiwa simu unaelezwa, na mwanamke, unauliza kwanza yuko wapi, kama yuko sokoni, utasubiri arudi nyumbani. Baadhi ya tabia kama kulia kwa sauti na kujigalagaza, kuwa na tabia za umbeya, uoga, etc, kunaelezwa ni tabia za kike, hata mtoto wa kiume akililia lia, anaambia usililie lie kama mwanamke. Baadhi ya tabia za kulia lia katika siasa, ni tabia za kike, wanaume wao wamefundishwa kupambana na sio kulia lia!"

Yanamaanisha nini?.
P.
Mayala ingependeza zaidi éndapo ungeishia tu kuomba radhi... Maelezo mengine bado yanaleta taharuki kwa wasomaji...
 
Jaimee unaamini njia zinazotumika na vyama pinzani zinaweza wapatia haki zao katika chaguzi zijazo ? Kwa kuzingatia matukio ya nyuma na njia chadema walizotumia kudai haki zao, unadhani njia hizo ni sahihi ? Ikiwemo kususia chaguzi, kutoka katika vipindi vya bunge, kutohudhuria kuapishwa kwa raisi n.k. njia hizi zimewapa manufaa gani ? Na unadhani zikiendelea zitawapa manufaa yapi ? Kwa mtazamo wako, ukivaa viatu vya mheshimiwa mbowe, ungeweza tumia njia gani tofauti na hizi ili kupata haki za kisiasa ?
Umejitahidi sana kufikiri positively, lakini umesahau njia mojawapo ambayo kwa sasa Mbowe amezungumza kuwa ndiyo ufumbuzi wa madhira haya,njia yenyewe ni "Wanasheria wa chama wanaendelea na taratibu za kesi ktk mahakama" Na taratibu nyingine mbalimbali.Najuwa utaniuliza mahakama gani?Jibu ni kwamba mahakama zina ngazi mbalimbali ndani ya nchi hadi kimataifa.
 
I due respect your foolish advertisements,let your foolishness prevails out of my content!!
I can hardly see a sane, wise and prudent person debating in derogative terms.
Seems like you needed those rude words for your low self esteem therapy, and I'm very happy to have helped a sick person.

Keep using those provocative and low life phrases against me cause they don't hurt my ego, albeit they make you sound more or less of unintelligent person.
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.


My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.


1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.


Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.


Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'

Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.

Wasalaam.

Paskali

Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.


Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums

Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums

Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums
binafsi nilikuwa nawadharau sana wanaosusa kupiga kura. Mpaka sasa mimi pia nimeshaungana nao, wewe kashiriki tu na endelea kuwashawishi wapinzani wabebe maji kwenye tenga huku ukiwasifia wana busara.
 
Paskali umeupandisha uzi huu.
Kwa nini watu wasuse?
Hoja walizotoa katika kususa nazo umziangalia?
Kwa nini usiangalie scenario nzima unakimbilia katika matokeo?
haya maswali hayajibu anazuga na like tu kwasababu nafsi yake ipo wazi alichokiandika hakipo sawa, yaani anapeleka mashambulizi kwa mjeruhiwa ili afaidi matunda na mtesi wa majeruhi! Kwamba yeye ni priceless.... hii kauli dizaini kama waitara aliitoa kipindi fulani mbele ya chakubanga......
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.


My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.


1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.


Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.


Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'

Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.

Wasalaam.

Paskali

Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.


Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums

Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums

Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums
usiwafananishe wanawake zako na wake zetu, tena; usimfananishe mwanangu na mwanao
 
usiwafananishe wanawake zako na wake zetu, tena; usimfananishe mwanangu na mwanao
Tofauti ya wanawake zangu na wake zako ni nini?, na tofauti ya mwanao na mwanangu ni nini hadi wasifanane?.
P
 
Mayala ingependeza zaidi éndapo ungeishia tu kuomba radhi... Maelezo mengine bado yanaleta taharuki kwa wasomaji...
Ndio maana nimemwambia asifananishe wanawake zake na wake zetu. Anaomba radhi kisha anadhihaki wanawake! Bogus
 
I can hardly see a sane, wise and prudent person debating in derogative terms.
Seems like you needed those rude words for your low self esteem therapy, and I'm very happy to have helped a sick person.

Keep using those provocative and low life phrases against me cause they don't hurt my ego, albeit they make you sound more or less of unintelligent person.
I've just seen your hocused technical terms!!!
 
Mkuu The Big Boss, naomba nikuhakikishie katika maisha yangu yote, sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Paskali, hanunuliki na yeyote kwa lolote kwa sababu hana price tag. Mimi ni priceless, sio CCM wa Chadema, wala Ukawa, wala Lowassa wala Magufuli, ana uwezo wa kuninunua, kwa sababu I'm not for sale, na sina any price tag!.

Naomba uniamini hili ni swali tuu, nimeuliza hawa wanaosusa, wamesusa ili wapate nini?!.

Ni swali tuu.

Paskali
Usemayo ni mazuri kama ni kweli. Tatizo ni makala yako ya leo. Hailingani na hadhi yako. Chunguza wote walioishabikia ni akina nani. I thought you won't even dream of being counted among them. Save only for a terrible nightmare! Utakuwa unafahamu hunger strikes. Hakuna utoto hapa. Hakuna udemu kabisa. Kwa ambaye katiba sio kipaumbele, demokrasi si lolote, hayo ni bure. Anaona unachelewa, ungekufa tu. Katika democracy, kususa ni mojawapo ya tools. I dare say, a strong tool kama maandamano. Parties take seats on the negotiating table. Haya yahusu waelewa na waungwana tu. Wanaojulikana sana kama wasiojulikana hawamo. Mchezo gani? Timu inaingia na kamisaa, washika vibendera na refa wao. Inaita timu pinzani wacheze. Yataka moyo wa chuma!
 
binafsi nilikuwa nawadharau sana wanaosusa kupiga kura. Mpaka sasa mimi pia nimeshaungana nao, wewe kashiriki tu na endelea kuwashawishi wapinzani wabebe maji kwenye tenga huku ukiwasifia wana busara.
Mkuu Amri Kuu ni Upendo, kama kweli Amri Kuu ni Upendo, then, hata adui mpende, usimtendee kitu usichopenda kutendewa, kwa vile serikali zote za mataifa huwekwa na Mungu, hivyo hata serikali ikitutenda vibaya kupitia Tume yake ya Uchaguzi, bado tunapaswa kuipenda tuu hivyo hivyo na kushiriki igizo la uchaguzi kwa upendo na sio kususa, kuzira au kugomea, maana Mungu akiamua, anaweza kufanya muujiza kama wa Kenya kwa chama cha KANU, Malawi kwa chama cha MPC na Zambia kwa chama cha UNIP.
P
 
Back
Top Bottom