Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.

My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.

1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.

Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.

Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'

Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.

Wasalaam.

Paskali

Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.

Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.

Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums

Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums

Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums

Nikupongeze tu umekuwa mstaarabu kwa kuzingatia nchi yetu demokrasia bado tuna safari
 
Leo tarehe 15 / 10 / 2019 Pascal Mayala ameweka chapisho lake kwenye JF of GT likisema tabia ya kususa ni ya kike na kitoto! Mayala anawaona wanawake kuwa siku zote tabia zao hazikuwi zinabakia kama za watoto! Mimi binafsi ninamuona Paskali Mayala kama ni mtu aliyeshiba sasa anaanza kutukana hovyo. Wanawake ukumbi ni wenu mkubaliane na mawazo yake dhidi yenu ya kitoto au mkatae na mumsuse, karibuni.
Wewe ni mchonganishi
 
Kuna baadhi walisoma uzi uhuu kwa " kuruka ruka", sasa hivi wanaona aibu baada ya kuusoma uzi huu kwa " utulivu" . Ulifafanua vizuri mleta mada.
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.


My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.


1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.


Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.


Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'

Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.

Wasalaam.

Paskali

Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.


Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums

Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums

Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums
Pascal tutake Radhi.
Ulichoandika juu kama subject title ni tusi Kwa Wanawake wote.
Tabia za kike ni zipi! Nani anazitengeneza na kuzihamasisha.
Let's stop creating gender bias on issues.
 
Kugoma maana yake ni kuweka pressure kwa mtu mwingine ili atatue tatizo lako/

Put preesure on someone else/another person so that can solve your problem

Na mtu yeyote anaeweka Pressure ili mtu mwingine afikiri kwa niaba yake Kutatua tatizo

Ana ji disqualifie kua kiongozi au kukaa katika UONGOZI kwasababu

Kiongozi siku zote anatengeneza mindset ya ku solve matatizo ya wengine

na sio kusokuma kwa wengine wamsaidie kutatua TATIZO lake.

Kiongozi haangaliii HAKI YAKE anaangalia FUTURE yake

Wanaogoma wengi wanafunzi/wana siasa they do not think like LEADERS

A leader should suppose to come with HOJA simamia hoja yako

it is not easy BUT who told you Being a LEADER is as easy as you THINK?

Yeyote anae goma huwa AUTOMATICALY namundoa kwenye list ya kumuita KIONGOZI

Fiikiria tena

kabla huja quote ujumbe wangu.
 
Ninavyokufahamu mimi Paschal Mayala wewe ni Intellectual ambae ulitakiwa kuja na ukweli kuisaidia jamii ya Kitanzania, badala yake umekuja na mada ambayo imejaa unafiki wa hali ya juu.Kwa hiyo wewe haupo ndani ya nchi hii kujionea kwa macho yako mambo yanavyoendelea na badala yake unaanza hadi kuwatukana wanawake.
Hizi ni dalili za kutaka uteuzi.Kiukweli umeandika pumba.
 
Inaonesha pasco shuleni kwenye hisabati alikuwa very low
Duh...!, laiti ungalijua.
Sijitapi wala sijidai kuhusu numbers ila amini usiamini nikiwa darasa la 7, kwenye school mock exam ya maswali 25, niliongoza kwa kupiga 96%, nilikosa moja, kuna hesabu ya eneo la chombo cha chakula cha kuku, darasa zima walipatia, mimi tuu peke yangu ndio nikakosa.

Baada ya kugaiwa mitihani nikafanya tena likaja jibu lile lile, sikukubali nikamuomba Mwalimu tufanye ubaoni. Nikaitwa nikashusha likaja jibu lile lile langu, akaitwa mwanafunzi mwingine akafanya, jibu likaja lile la waliopatia, mwalimu akauliza darasa, nani kapata, darasa zima wakaonyesha ni yule mwenzangu, wote wakasema nimekosea na nikazomewa.

Kiukweli kwa ubishi mimi mbishi, sikukubali nikaorodhesha kila kipande na kuonyesha jumla ya eneo lake, niko right na wale wengine wote they got it wrong. Wengine wakawa wana nishangaa kwamba nimeongoza hesabu na bado nalalamika, essence ya kulalamika sio kutafuta 100 bali kutendewa haki.

Ndipo mwalimu akakubali hilo swali lifanywe upya ubaoni, likaja jibu langu, mwalimu akashangaa na kujiuliza How could it be, maana jibu la kwenye marking scheme ni jibu lile la wote.

Swali likaja kwa nini darasa zima wamepatia na Mimi Ndio nimekosea, kumbe kuna wenzetu wana Kiongozi cha Mwalimu, walicopy jibu kule kumbe kwenye Kiongozi cha Mwalimu hilo Swali limekosewa!. From then, nilijulikana ni kipanga wao wa hesabu.

Au nikuwekee matokeo yangu ya O level ushuhudie mwenyewe kwa macho misonge iliyonipeleka Ilboru?.
P
 
Pascal tutake Radhi.
Ulichoandika juu kama subject title ni tusi Kwa Wanawake wote.
Tabia za kike ni zipi! Nani anazitengeneza na kuzihamasisha.
Let's stop creating gender bias on issues.
Ma Kagemuro, soma uzi wote neno kwa neno huku ukiweka kituo panapohusika...!!! Pascal siyo wa hivyo umdhanivyo.
 
Mayalla,kwa heshima yako,nomb ubandike update mpya ya hii makala yako.kwa hali ilivyo sasa,nadhani kuna vitu utakua umeviona!!
 
JK aliruhusu zile operesheni sangara na nyinginezo nyingi zisizo na mtazamo wa kimaendeleo kwa wananchi.

Watu washinde juani wakisikiliza hotuba wakati ardhi yao ni fursa tosha ya kukua kwao kiuchumi.
 
Mkuu The Big Boss, naomba nikuhakikishie katika maisha yangu yote, sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Paskali, hanunuliki na yeyote kwa lolote kwa sababu hana price tag. Mimi ni priceless, sio CCM wa Chadema, wala Ukawa, wala Lowassa wala Magufuli, ana uwezo wa kuninunua, kwa sababu I'm not for sale, na sina any price tag!.

Naomba uniamini hili ni swali tuu, nimeuliza hawa wanaosusa, wamesusa ili wapate nini?!.

Ni swali tuu.

Paskali
ni katika tanzania pekee wau waliosoma wanakuwa wapumbavu kwa kutaka vyeo.
 
JK aliruhusu zile operesheni sangara na nyinginezo nyingi zisizo na mtazamo wa kimaendeleo kwa wananchi.
Watu washinde juani wakisikiliza hotuba wakati ardhi yao ni fursa tosha ya kukua kwao kiuchumi.
Siku hizi hizo hotuba za marudiomarudio kila siku yaleyale watu wanashinda kwenye kumbi zenye A/C! Ukipenda sana kitu unakuwa mtumwa na kupoteza akili.
 
Ma Kagemuro, soma uzi wote neno kwa neno huku ukiweka kituo panapohusika...!!! Pascal siyo wa hivyo umdhanivyo.
Neno moja linaweza kusambalatisha sifa zako zote ulizozijenga kwa miaka mingi, ninakumbuka ziara ya kikundi cha muziki The Beatles enzi hizo, walikwenda Maerekani na kupokelewa na maelfu ya watu uwanja wa ndege. Walipoteremka kwenye ndege na kuhojiwa na waandishi wa habari kwa mbwembwe za umaarufu wao na idadi ya wapenzi waliokuwepo hapo wakaropoka We are popular than Jesus Christ! Ziara yao iliishia hapohapo watu walifyatuka na kuchanachana mabango na kuvunja rekodi za santuri walizokuwa nazo na ukawa ndiyo mwisho wa kikundi hicho. Watanzania tumezoea tunapomdharau mwanaume humfananisha na akili za kike na kitoto; Muungwana akikosea huomba radhi haraka.
 
Walipoteremka kwenye ndege na kuhojiwa na waandishi wa habari kwa mbwembwe za umaarufu wao na idadi ya wapenzi waliokuwepo hapo wakaropoka We are popular than Jesus Christ! Ziara yao iliishia hapohapo watu walifyatuka na kuchanachana mabango na kuvunja rekodi za santuri walizokuwa nazo na ukawa ndiyo mwisho wa kikundi hicho.
Ha ha haa ! They went too far..! Labda kwa kizazi cha sasa wansingesusiwa hao Beattle na kauli yao hiyo!!
===
Mkuu uko sahihi sana, kama ni 'kivaa viatu vyako katika hili'. Kuna wakati nilipata shida kidogo kumuelewa Pasco wa JF na hii ilitokana na kusoma posts zake kwa 'rasharasha'...nilipoona kwa nini mambo yanayonitatiza kwenye posts za Pasco na baadaye Paskalli yako 'consistent' ...nikaamua kusoma posts zake kwa 'masika', nikawa nasoma na kuhusanisha na masuala mengine ya wakati huo, yaliyopita, na yanayotarajiwa katika muktadha moja na mwingine na mwingine. Hii ilinisaidia 'kumuelewa' Pasco. Ni kwenda naye mdogo mdogo kirasharasha, kivuli, mpaka kimasika..!! Anaelewaka tu huyu, ndugu.
---
Nimeeleza yote hayo, si kwamba na mtetea Pasco kwa kila jambo, la hasha!!! Kama kuna sehemu amekwaza wanaJF ama walimwengu kwa ujumla hana budi kuomba msamaha.
 
Back
Top Bottom