Swali kuhusu viwanja vinavyouzwa na halmashauri zetu.

Swali kuhusu viwanja vinavyouzwa na halmashauri zetu.

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Imagine umenunua kiwanja mwezi wa sita na hujamaliza kukilipia na kwenye barua yao wametia mkwala usipomaliza mpaka baada ya miezi kadhaa wanakiuza je inawezekana? Na unatakiwa ufanyaje Ili kuweka zuio? Au ni bit tu?
 
Imagine umenunua kiwanja mwezi wa sita na hujamaliza kukilipia na kwenye barua yao wametia mkwala usipomaliza mpaka baada ya miezi kadhaa wanakiuza je inawezekana? Na unatakiwa ufanyaje Ili kuweka zuio? Au ni bit tu?
Hakuna cha biti , ki ukweli wanakiuza tena, sasa utawekaje zuio wakati wewe ndio umekiuka makubaliano?kwani kwenye mkataba vipengere vyote vipo, sasa, unaweza kukimbilia kufungua kesi kama kupoteza muda tu, lakini mwisho wa siki utashindwa tu.
 
Hakuna cha biti , ki ukweli wanakiuza tena, sasa utawekaje zuio wakati wewe ndio umekiuka makubaliano?kwani kwenye mkataba vipengere vyote vipo, sasa, unaweza kukimbilia kufungua kesi kama kupoteza muda tu, lakini mwisho wa siki utashindwa tu.
Mimi naona huo ni mkwara tu.
Vipo viwanja vimegeuzwa mashamba/bustani. Kwa miaka sasa wanalima mahindi wakati viwanja vinavyopaka nyumba zimekamilika. Viwanja vingine vimewekwa uzio wamabati kwa miaka kadhaa
 
Mimi naona huo ni mkwara tu.
Vipo viwanja vimegeuzwa mashamba/bustani. Kwa miaka sasa wanalima mahindi wakati viwanja vinavyopaka nyumba zimekamilika. Viwanja vingine vimewekwa uzio wamabati kwa miaka kadhaa
Asante mkuu
 
Hawawezi kukiuza wala pesa yako haitapotea isipokua kama kiwanja ulichonunua ni potential na kipo sehemu nzuri na watu wengi wanakitaka, watakupa kiwanja kingine reallocation ukimaliza malipo yako, pia jitahidi ufanye mawasiliano na watu wa halmashauri kama umekwama kulipa kwa wakati hakuna kinachoshindikana watakuelewa tu.
 
Mimi naona huo ni mkwara tu.
Vipo viwanja vimegeuzwa mashamba/bustani. Kwa miaka sasa wanalima mahindi wakati viwanja vinavyopaka nyumba zimekamilika. Viwanja vingine vimewekwa uzio wamabati kwa miaka kadhaa
Hoja ya mdau ilikuwa ni je ukishindwa kumalizia kiasi kilichobakia inakuwaje?hilo la kulima, au kuzungushia mabati ni jambo jingine kabisa, kwani mwenye kiwanja ndio ameamua kufanya hivyo kwa kuwa tayari ni mali yake, na hadaiwi.
 
Inapaswa wakiuze, ila mara nyingi siyo wafuatiliaji...
 
Mimi naona huo ni mkwara tu.
Vipo viwanja vimegeuzwa mashamba/bustani. Kwa miaka sasa wanalima mahindi wakati viwanja vinavyopaka nyumba zimekamilika. Viwanja vingine vimewekwa uzio wamabati kwa miaka kadhaa
Nunua kiwanja Dodoma jiji, alaf usifuate makubaliano ya kwenye mkataba uone kama ni mkwara tu au vipi
 
Back
Top Bottom