Je, watu hawawezi kujitetea wenyewe mahakamani?
Manake kuna jurisdictions si lazima mtuhumiwa atetewe na wakili mahakamani. Mtuhumiwa ana uamuzi wa kutafuta wakili wake, ana uamuzi wa kukubali wakili wa kupewa na serikali, na pia ana umauzi wa kujitetea mwenyewe.
Daaah haya mambo yalikuwepo tangu kwenye vyuo...non-lawyers in the making ni haters mpaka leo wanaendeleza u-hater kitaaanii..
Daaah haya mambo yalikuwepo tangu kwenye vyuo...non-lawyers in the making ni haters mpaka leo wanaendeleza u-hater kitaaanii..
Habari yako lakini..??
Habari yangu ni kukubaruza wewe. Usiniletee shida zako hapa.
In ur dreamz!
Ndo Kiingereza pekee ulichokikariri! Junya wewe.
Ha ha kwaiyo we ulitaka nisemeje..?? Junya unipe tu tafsiri ntakujibu vzur sana hutaamini macho yako.
Ili uwe mwanasheria mzuri, inapaswa usome sana tena kila mara ili uwe updated.... kwa wengine, ukipata expirience na yale mafunzo baas, kwisha habari...
Pengine hiyo ndio sababu wanaitwa wasomi, sina hakika.
Wewe hujui halafu unataka kujifanya mjanja!!
Hapa umetoa ufafanuzi au umeuliza ili ueleweshwe!??
Sasa unauliza kama mimi nimesoma sheria, shida yako wewe ni kujua taaluma yangu au usahihi wa majibu yangu!??
Hakuna sheria yeyote inayoweka masharti ya viwango vya elimu vya mtetezi(wakili) mahakamani.
Nenda vijijini kwenye mahakama za mwanzo halafu uliza mtetezi wa mtuhumiwa ana elimu gani.
Mimi mzee wangu hata darasa la saba hakufika( aliishia la nne la zamani), lakini watu wakipata kesi walikuwa wanamfuata ili akawatetee mahakamani.
Teh teh teh!!mkuu hayo mamlaka ya mzee wako yapo kwa mujibu wa sheria ama kwa taratibu za wao kijijini wakizani ni sheria..maana ninakakesi kangu hapa natamani nimpate mzee kama inawezekana.
Daadeki!!, yaani watu wanapeana​ shamungobho!.naona watu wameshaanza matusi humu, yangu macho
Eat the cake Anna Mae!
Shoga wewe rud tena apa
Jamani a cha waiter hvyo hii field ma seat achana nayo.kazma usome Mara wa Mara na juelewa siyo kusoma km kasuku hivi hivi utakuwa kilaza.pia wanaposema mwanasheria "msomi" wanamaanisha learned ktk maana hyohyo ya lugha inayotumika kuwatambua wanasheria wazur.."learned Advocate odeyo" example etc