Swali: Kutokwenda PM na kutojuana na watu nje ya JF ni ufahari?

Kujuana na mtu wa JF ina a social setting ni hatari mno....

Hatari ni something very expensive I can not afford!

Mtu ajue tu Wyatt ni internet character aliyepo JF,thats it!No more no less!
Nyie mnaoshinda Jukwaa lile MNA mengi ya kujiepusha nayo hivyo kuliko kujiweka kwenye risk ya kujulikana bora uendelee kuwa anonymous
 
Mimi Behaviourist naapa kuwa namjua Mzigua90 nje ya JF na sifa zake ni hizi:
1.Ana chura
2.Ni single Maza
3.Ni mweupe
4.Ana mwili yaani kama kibonge fulani hivi
5.Anapenda sana kula bata
6.Ni mnywaji wa pombe
7.Ana marafiki wengi sana wa kiume
8.Ni mgumu sana katika kupenda mwanaume/wanaume
9.Katika mapenzi anapenda yeye ndiyo aanze kupenda na wala siyo aanze kupendwa yeye
10.Amezaliwa 1990
 
Hivyo eeh. Hata Mimi najua kwenda pm sio lazima kutongozana. Kwa mfano unakuta kuna member ghafla humuoni tu unaenda kumjuliA hali au kuna swali unataka kuuliza. Sasa najiuliza hao wanaokanaga hawajawahi hata kwenda kuuliza kitu cha msingi pm?
Hahaha ukiona hivyo wanaficha mambo madogo hayo sio watu wakuaminika
 
Kuna siku kidogo niende pm kwa mtoa mada..maana nilimfananisha na Dada mmoja hivi alimpeleka mtoto wake wa kiume hospital flani hivi iko misheni inaitwa consolata.

Nikaonaga haina umuhimu
 
I think ni kitu kizuri kujuana nje ya JF,

ila kila mtu ana experience yake,

kama umeexperience kitu kibaya baada ya kujuana na mwana JF,

au

umeona wengine wakiathirika sababu ya kujuana na watu nje ya JF

itakufanya socially anxious

na kufunga PMπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

for some,it better stay that way..kama wanafeel safe..
 
Boss naona umetufungulia dunia.. Ngoja tunoe vidole sasa[emoji192]
 
Unakutaga si yeye[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…