Swali: Kutokwenda PM na kutojuana na watu nje ya JF ni ufahari?

Swali: Kutokwenda PM na kutojuana na watu nje ya JF ni ufahari?

Hivi kuna umbali gani hapa na PM ?

Ila mimi siwafichi aisee,nikizidiwa huwa naingia tu PM kumuelezea muhusika hisia zangu,tusipoelewana basi,mguu sawa,mguu upande,kushoto kulia nyuma geuka safari...........!
Ndiwo. Maana unatoa hisia zako kukubaliwa au kukataliwa ni juu ya mtu
 
Kwanini uwaze kua kutokwenda pm ni ufahari? kwani neno ufahari unalitafsiri vipi kwa mtazamo wako? kwanini usione tu kua ni jambo la kawaida kutokana na maamuzi ya mtu?

JF kila mtu yupo kwa malengo yake,wapo waliokuja kwa malengo ya kukimbizana na wadada huko pm au kujikuta wakivutika huko pm,

Mimi binafsi sina hayo mambo ya pm na wala sijawahi kuongea na mtu huko pm,ni maamuzi ya mtu tu na malengo yake wala sio ufahari.
Umeniandikia vitu nashindwa hata kujibu. Wewe kesi yako inaeleweka. Naongelea wale wanaoenda halafu wanasema hawaendi ni kwamba usipoenda pm unakua MTU wa aina gani?
 
-Pm
-Ban

Hivi vitu sijui vina rangi gani au umbali wa kilomita ngapi kutoka hapa, manake nimeona karibia wanawake wote wa humu ukiwafwata Pm na za mchana,umekula,umevaa nguo ya rangi gani unakuja kuanzishiwa sredi huku[emoji23][emoji23][emoji23]
Lol.. Sio kweli bwana
 
Iliwahi nitokea kwenye uzi mmoja niliimply kua kuna member najuana naye nje ya jf.
Kilichotokea ni alinikasirikia. Kutoka pale nikajua kua privacy kwa JF ni ishu serious mno, sijawahi tena kujiingiza kwenye ordeal kama ile.
 
Iliwahi nitokea kwenye uzi mmoja niliimply kua kuna member najuana naye nje ya jf.
Kilichotokea ni alinikasirikia. Kutoka pale nikajua kua privacy kwa JF ni ishu serious mno, sijawahi tena kujiingiza kwenye ordeal kama ile.
Huyo Ana gubu tu. Kwanini alikasirika? Labda hayuko proud na kujuana kwenu ndo sababu hataki watu wajue mnajuana
 
Naonaga watu kadhaa huku wanasema au kushangaa Kama watu tunajuana na wengine nje ya humu. Lakini unakuta Kati ya hao wanaoshangaa wanakesha pm au umeshaonana nao mtaani lakini wakiwa huku wanajifanya na wao wageni.

Je ni kitu kibaya kujuana na watu nje ya hapa?
Kama sio kitu kibaya kwanini watu hupenda kuruka kimanga kuhusu kwenda pm au kuwasiliana na watu nje ya hapa?
Kuna muda najiuliza sasa hata nanihii anasema haendagi pm Kwa MTU wala hajawahi onana na MTU Ina maana yule niliekutana nae mwenye ID fulani sie au kitu gani

Kujuana na mtu wa JF ina a social setting ni hatari mno....

Hatari ni something very expensive I can not afford!

Mtu ajue tu Wyatt ni internet character aliyepo JF,thats it!No more no less!
 
Huyo Ana gubu tu. Kwanini alikasirika? Labda hayuko proud na kujuana kwenu ndo sababu hataki watu wajue mnajuana
Gubu hapana, pride sidhani mi kichwa changu kilihitimisha kua tatizo ni privacy.
 
Back
Top Bottom