Wewe inabidi nianze harakati za kukukula ili uache kunisingizia vitu
ww ni mkazi wa hayo maeneo ya kwa bruda?Kuna siku kidogo niende pm kwa mtoa mada..maana nilimfananisha na Dada mmoja hivi alimpeleka mtoto wake wa kiume hospital flani hivi iko misheni inaitwa consolata.
Nikaonaga haina umuhimu
Tuonane basii kha!Unaweza kumtaja mtu mmoja ambae upo nae pm na mtaani mmeonana lkn hapa anakana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unafikili kukulwa mtu anakulwa kirahisi tu
Naonaga watu kadhaa huku wanasema au kushangaa Kama watu tunajuana na wengine nje ya humu. Lakini unakuta Kati ya hao wanaoshangaa wanakesha pm au umeshaonana nao mtaani lakini wakiwa huku wanajifanya na wao wageni.
Je ni kitu kibaya kujuana na watu nje ya hapa?
Kama sio kitu kibaya kwanini watu hupenda kuruka kimanga kuhusu kwenda pm au kuwasiliana na watu nje ya hapa?
Kuna muda najiuliza sasa hata nanihii anasema haendagi pm Kwa MTU wala hajawahi onana na MTU Ina maana yule niliekutana nae mwenye ID fulani sie au kitu gani
ww ni mkazi wa hayo maeneo ya kwa bruda?
Haahaha kwani ugumu uko wapi
ok, ni mitaa yangu hiyo inawezekana tunaonana ila hatujuani, Unafanya kazi hapo zahanati.
Hapana ..ok, ni mitaa yangu hiyo inawezekana tutaonana ila hatujuani, Unafanya kazi hapo zahanati.
sawa, mi ni mkazi mwenzio wa hapo kwa bruda.
poa poa jilani.Okey sawa
Ugumu upo kuliwa kifwala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio najifanya siendi pm
Tuonane basii kha!
Halafu kwanini hukujibu pm yangu?Naonaga watu kadhaa huku wanasema au kushangaa Kama watu tunajuana na wengine nje ya humu. Lakini unakuta Kati ya hao wanaoshangaa wanakesha pm au umeshaonana nao mtaani lakini wakiwa huku wanajifanya na wao wageni.
Je ni kitu kibaya kujuana na watu nje ya hapa?
Kama sio kitu kibaya kwanini watu hupenda kuruka kimanga kuhusu kwenda pm au kuwasiliana na watu nje ya hapa?
Kuna muda najiuliza sasa hata nanihii anasema haendagi pm Kwa MTU wala hajawahi onana na MTU Ina maana yule niliekutana nae mwenye ID fulani sie au kitu gani