Lovery
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 1,555
- 3,208
Kumfata mtu PM kwa lengo la mahusiano kwa huu ufeki wa humu ni kama utoto nakupoteza muda tu, ila kama ni mambo ya msingi tofauti na kunjunjana sio mbaya watu tukafahamiana na tukasaidiana ishu kadhaa muhimu japo kuna uhuru utaupoteza katika kuchangia mambo jukwaani.