Swali kwa akina dada wa JamiiForums

Dah...80% ya wanawake wa JF ni wanaume...nimesikia tu[emoji85]
 
tunaview profile mfano Director at..., .... limited , tunaview threads kama unazungumzia Ucha Mungu tumiradi twako n.k[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hilo nalo neno best, sio mtu muda wote anazungumzia mapenzi na kuwaponda wanawake. Mtu kama huyo unamfata inbox ili uongeze matatizo ktk maisha yako au upate nn?
 

Uliwahi kuandika thread ya kutafuta mchumba wa kike ukapata PM ya dume mkuu?[emoji4]
 
Kuna mmoja alikuja PM akasema anapenda comment zangu akasema eti ooh anatongozwa sana humu JF akawa anatuponda wanaume nikamwabia umekuja kuni enjoy.au kama unatongozwa PM wafuata nin
Wee jamaa hawa viumbe hawajibiwi makavu hatakama umewachoka wahifadhi bhanaa mtoto wa kike akikufata mheshimu atakama humtaki asijue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…