swali kwa bodi ya mkopo

jimmymziray

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
816
Reaction score
515
Ikiwa baadhi ya vyuo wanawahi kufungua vyuo kabla hamjawasilisha mikopo ama dhamana za kuwalipia walengwa na ikiwa baadhi ya vyuo hawakusajili mpaka uwe umelipa ada yao,na ikiwa lengo la bodi ni kuwasaidia wale ambao hawana uwezo wa kujisomesha wenyewe,je bodi ina mpango gani kwa hili,ama ni njia gani zitamsaidia kijana huyu ambae wazazi wake wanaishi chini ya dola moja kwa siku?
 
mimi mwenyewe ndio wasiwasi wangu huo kama kuna mtu wa bodi humu ndani atujibu
 
Unaweza subiri mpaka bodi watoe majina ndo uende kujisajili.
 
Huoni ukisubiri mpaka bodi ya mkopo itoe majina ndo ukajisajili,posibility ya kukosa hostel ipoo sababu kila mtu anawahi hostel
 
Wenye wasiwasi ni watu waliochaguliwa vyuo vya private coz vingi vinafungua mwezi wa 9 lakini sisi wa gvnt chuo mwezi wa 10 hatuna wasiwasi coz watakuwa wameshatoa mikopo
 
Wenye wasiwasi ni watu waliochaguliwa vyuo vya private coz vingi vinafungua mwezi wa 9 lakini sisi wa gvnt chuo mwezi wa 10 hatuna wasiwasi coz watakuwa wameshatoa mikopo

Sick in your head.
 
Halafu kama sua wametoa wiki moja tu ya usajili na ni mpaka ulipe ada na mkopo hauingii mpaka uwe na registration number,unaona palivyo patamu hapo
 
jamani acheni utani hili jambo litawaumiza sana watu wengi wanaofungua vyuo mwezi wa 9...
 
Hata wakiwahi,mpaka mtu uzitie mkononi utakopa mpaka basi,ikumbukwe kuna pesa ya matibabu c chini ya laki moja,kuna library,cjui I'd,exams nk,hapo ukijumlisha na nauli,na vijisenti vya kuanzia lazima uwe na kitu kamalaki tano hivi,tujipangeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…