Swali kwa CCM: Ikiwa "makosa" ya Membe, Makamba na Kinana yalihumhusu Magufuli, ilikuwa sahihi kwa Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Kamati iliyowaadhibu?

Swali kwa CCM: Ikiwa "makosa" ya Membe, Makamba na Kinana yalihumhusu Magufuli, ilikuwa sahihi kwa Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Kamati iliyowaadhibu?

Zito hakufukuzwa CHADEMA
Kikao kilichomfukuza Zitto Chadema Mwenyekiti alikuwa Mbowe ma Katibu alikuwa Dr Slaa ambao wote walikuwa Wagomvi wa Zitto kwa nafasi ya Uenyekiti na ugombea Urais.

Kikao kilichomvua Uanachama wa CUF Prof Lipumba Kiliongozwa na Mtatiro na Seif ambao walikuwa ndio Walalamikaji

Aliekuwa anagawa Fomu za kugombea Urais wa Znz kupitia CUF alikuwa Seif Sharif Hamad ambae pia ndie alikuwa Mgombea wa Milele.

Kikao kilichomfukuzisha Uanachama na hatimae Kufungwa Maisha kwa tuhuma za uongo za Uhaini Marehemu Bibi Titi Mohamed Mlalamikaji alikuwa Nyerere na Mwenyekiti alikuwa Nyerere 1968.

Kwny Siasa hayo ni ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikao kilichomfukuza Zitto Chadema Mwenyekiti alikuwa Mbowe ma Katibu alikuwa Dr Slaa ambao wote walikuwa Wagomvi wa Zitto kwa nafasi ya Uenyekiti na ugombea Urais.

Kikao kilichomvua Uanachama wa CUF Prof Lipumba Kiliongozwa na Mtatiro na Seif ambao walikuwa ndio Walalamikaji

Aliekuwa anagawa Fomu za kugombea Urais wa Znz kupitia CUF alikuwa Seif Sharif Hamad ambae pia ndie alikuwa Mgombea wa Milele.

Kikao kilichomfukuzisha Uanachama na hatimae Kufungwa Maisha kwa tuhuma za uongo za Uhaini Marehemu Bibi Titi Mohamed Mlalamikaji alikuwa Nyerere na Mwenyekiti alikuwa Nyerere 1968.

Kwny Siasa hayo ni ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa jinsi ulivyotoa mifano mizuri
Ubarikiwe mtawa POHAMBA
Nimependa kauli ya mwisho
*kwenye siasa kila kitu kinawezekana*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaamini CCM wanauelewa msemo kwamba kesi ya kima huwezi kupeleka kwa nyani. Hakutakuwa na haki katika hukumu.

Vivyohivyo, Watanzania wote wanaelewa kwamba tuhuma za CCM dhidi ya Membe, Makamba na Kinana kwa namna kubwa zilikuwa zinamhusu Magufuli.

Membe siku zote ameonwa kuwa mpinzani na tishio kwa uraisi wa Magufuli. Kinana na Makamba walisemwa kuwa waliongea mambo ambayo yalikuwa dhidi ya Magufuli.

Sasa kitu cha ajabu sana kilichotokea, eti kamati ya CCM iliyotoa adhabu dhidi ya Membe, Makamba na Kinana mwenyekiti wake akawa huyo huyo Magufuli!

Hivi tuseme kwamba katika CCM yote hakuwapo mtu mwenye busara kuona hili halikuwa sahihi? Sio suala la kesi ya kima kuipeleka kwa nyani?

Labda hilo mliliona, lakini ukweli ni kwamba mnamwogopa sana Magufuli na kuhofia kupoteza nafasi zenu kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuthubutu kupendekeza au kutoa wazo kwamba isingekuwa vema Magufuli kuwa mwenyekiti wa kamati itakayowaadhibu Membe, Makamba na Kinana kwa kuwa kesi dhidi yao zilimhusu.

Kwanza hebu tutafakari na kwenda mbali kidogo. Huu uamuzi wa kamati ya CCM iliyotoa adhabu ilikuwa ni uamzi wa kamati au uamuzi wa Magufuli? Katika namna ya staili ya utawala wa Magufuli na uoga kwa Magufuli wa viongozi walio chini yake, hivi kuna mtu anategemea mwanachama yeyote wa kamati hii angeweza kutoa mawazo mbadala ikiwa Magufuli alikuja kwenye kamati hii akiwa tayari ameamua uamuzi gani utatolewa?

Na zaidi, ni wazi Magufuli amekuwa akifanya kila jitihada ya kuwazimisha wanachama wote wa CCM waliojitokeza kugombea uraisi dhidi yake mwaka 2015, kuanzia kina Mwigulu, Mwandosya, January Makamba, Membe nk, pamoja na wale wenye kuonyesha dalili za kuangaza kisiasa zaidi yake kwa sasa.

CCM ngoja tuwaambie ukweli, aliyepewa adhabu hapa wala sio Membe, Makamba na Kinana, bali ni nyie CCM wenyewe! Na hadi sasa mkubali kwamba nyie sio tena CCM inayopaswa kuwa Chama Cha Mapinduzi, bali ni CCM inayopaswa kuwa Chama Cha Magufuli.
Hawa wamehukumiwa kwa kufuata kanuni na taratibu za chama wengine nyie ni wapayukaji tu, shut up your mouth

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaamini CCM wanauelewa msemo kwamba kesi ya kima huwezi kupeleka kwa nyani. Hakutakuwa na haki katika hukumu.

Vivyohivyo, Watanzania wote wanaelewa kwamba tuhuma za CCM dhidi ya Membe, Makamba na Kinana kwa namna kubwa zilikuwa zinamhusu Magufuli.

Membe siku zote ameonwa kuwa mpinzani na tishio kwa uraisi wa Magufuli. Kinana na Makamba walisemwa kuwa waliongea mambo ambayo yalikuwa dhidi ya Magufuli.

Sasa kitu cha ajabu sana kilichotokea, eti kamati ya CCM iliyotoa adhabu dhidi ya Membe, Makamba na Kinana mwenyekiti wake akawa huyo huyo Magufuli!

Hivi tuseme kwamba katika CCM yote hakuwapo mtu mwenye busara kuona hili halikuwa sahihi? Sio suala la kesi ya kima kuipeleka kwa nyani?

Labda hilo mliliona, lakini ukweli ni kwamba mnamwogopa sana Magufuli na kuhofia kupoteza nafasi zenu kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuthubutu kupendekeza au kutoa wazo kwamba isingekuwa vema Magufuli kuwa mwenyekiti wa kamati itakayowaadhibu Membe, Makamba na Kinana kwa kuwa kesi dhidi yao zilimhusu.

Kwanza hebu tutafakari na kwenda mbali kidogo. Huu uamuzi wa kamati ya CCM iliyotoa adhabu ilikuwa ni uamzi wa kamati au uamuzi wa Magufuli? Katika namna ya staili ya utawala wa Magufuli na uoga kwa Magufuli wa viongozi walio chini yake, hivi kuna mtu anategemea mwanachama yeyote wa kamati hii angeweza kutoa mawazo mbadala ikiwa Magufuli alikuja kwenye kamati hii akiwa tayari ameamua uamuzi gani utatolewa?

Na zaidi, ni wazi Magufuli amekuwa akifanya kila jitihada ya kuwazimisha wanachama wote wa CCM waliojitokeza kugombea uraisi dhidi yake mwaka 2015, kuanzia kina Mwigulu, Mwandosya, January Makamba, Membe nk, pamoja na wale wenye kuonyesha dalili za kuangaza kisiasa zaidi yake kwa sasa.

CCM ngoja tuwaambie ukweli, aliyepewa adhabu hapa wala sio Membe, Makamba na Kinana, bali ni nyie CCM wenyewe! Na hadi sasa mkubali kwamba nyie sio tena CCM inayopaswa kuwa Chama Cha Mapinduzi, bali ni CCM inayopaswa kuwa Chama Cha Magufuli.
wakina nyerere walipambana kumtoa mkoloni Leo kaingia mkoloni mweusi ndani ya ccm watajuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wamehukumiwa kwa kufuata kanuni na taratibu za chama wengine nyie ni wapayukaji tu, shut up your mouth

Sent using Jamii Forums mobile app
Shut up your mouth? Hebu ona, Kiingereza hujui kwa nini usiongee kiswahili? Unajionyesha wazi ni wale wapiga kelele wa CCM ambao hata shule hamjaenda, waropokaji tu bila lojiki, bendera kufuata upepo!
 
Nimependa jinsi ulivyotoa mifano mizuri
Ubarikiwe mtawa POHAMBA
Nimependa kauli ya mwisho
*kwenye siasa kila kitu kinawezekana*

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye siasa kila kitu kinawezekana kilicho na lojiki. Lakini kila kitu kikiwezekana hata vya kijinga hiyo ni SH country. Tanzania ndio tumefikia hapo?
 
Harafu kuna ngedere wanakudja hapa na kusemaga "upinzani hakunaaga demoklasia" wanaongeaga kama vile wako wamebanwaa ba hadja kubwaaa

Don't make a promise you can't fulfill...
 
2014 Membe alirimamishwa asifanye siasa kwa muda wa mwaka mmoja ikiwa kosa ni kuanza kampeni za urais kabla ya muda na mwenyekiti wa kikao hicho alikuwa Mh Jakaya Kikwete.
Hapa jk hakuwa na maslahi binafsi maana hakutarajia kuwa mgombea 2015
 
Ninaamini CCM wanauelewa msemo kwamba kesi ya kima huwezi kupeleka kwa nyani. Hakutakuwa na haki katika hukumu.

Vivyohivyo, Watanzania wote wanaelewa kwamba tuhuma za CCM dhidi ya Membe, Makamba na Kinana kwa namna kubwa zilikuwa zinamhusu Magufuli.

Membe siku zote ameonwa kuwa mpinzani na tishio kwa uraisi wa Magufuli. Kinana na Makamba walisemwa kuwa waliongea mambo ambayo yalikuwa dhidi ya Magufuli.

Sasa kitu cha ajabu sana kilichotokea, eti kamati ya CCM iliyotoa adhabu dhidi ya Membe, Makamba na Kinana mwenyekiti wake akawa huyo huyo Magufuli!

Hivi tuseme kwamba katika CCM yote hakuwapo mtu mwenye busara kuona hili halikuwa sahihi? Sio suala la kesi ya kima kuipeleka kwa nyani?

Labda hilo mliliona, lakini ukweli ni kwamba mnamwogopa sana Magufuli na kuhofia kupoteza nafasi zenu kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuthubutu kupendekeza au kutoa wazo kwamba isingekuwa vema Magufuli kuwa mwenyekiti wa kamati itakayowaadhibu Membe, Makamba na Kinana kwa kuwa kesi dhidi yao zilimhusu.

Kwanza hebu tutafakari na kwenda mbali kidogo. Huu uamuzi wa kamati ya CCM iliyotoa adhabu ilikuwa ni uamzi wa kamati au uamuzi wa Magufuli? Katika namna ya staili ya utawala wa Magufuli na uoga kwa Magufuli wa viongozi walio chini yake, hivi kuna mtu anategemea mwanachama yeyote wa kamati hii angeweza kutoa mawazo mbadala ikiwa Magufuli alikuja kwenye kamati hii akiwa tayari ameamua uamuzi gani utatolewa?

Na zaidi, ni wazi Magufuli amekuwa akifanya kila jitihada ya kuwazimisha wanachama wote wa CCM waliojitokeza kugombea uraisi dhidi yake mwaka 2015, kuanzia kina Mwigulu, Mwandosya, January Makamba, Membe nk, pamoja na wale wenye kuonyesha dalili za kuangaza kisiasa zaidi yake kwa sasa.

CCM ngoja tuwaambie ukweli, aliyepewa adhabu hapa wala sio Membe, Makamba na Kinana, bali ni nyie CCM wenyewe! Na hadi sasa mkubali kwamba nyie sio tena CCM inayopaswa kuwa Chama Cha Mapinduzi, bali ni CCM inayopaswa kuwa Chama Cha Magufuli.
Jasiri haachi asili.

Wapinzani wa Magufuli kisiasa tangu akiwa mbunge wa Chato, iwe ndani ya chama chake au nje ya chama chake huwa wanaishia pabaya sana. Anachowafanyia anakijua mwenyewe na muumba wake.
 
Jasiri haachi asili.

Wapinzani wa Magufuli kisiasa tangu akiwa mbunge wa Chato, iwe ndani ya chama chake au nje ya chama chake huwa wanaishia pabaya sana. Anachowafanyia anakijua mwenyewe na muumba wake.
Hizo ni silka za atu wenye katabia ka kidikteta
 
Wapinzani wa ndani na nje ya ccm mwafaaaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nakushauri uorodheshe sifa za kiongozi dikteta halafu uweke check box, halafu mpe mtu mwenye busara am rate Magufuli

Kwa kukumbusha tu, dalili mojawapo ya kiongozi dikteta ni kujifanya ana uzalendo sana na nchi ili kuhalalisha kuua wapinzani wake - Mfano, Hitler, Idd Amin, Bokassa, nk
 
Nakushauri uorodheshe sifa za kiongozi dikteta halafu uweke check box, halafu mpe mtu mwenye busara am rate Magufuli

Kwa kukumbusha tu, dalili mojawapo ya kiongozi dikteta ni kujifanya ana uzalendo sana na nchi ili kuhalalisha kuua wapinzani wake - Mfano, Hitler, Idd Amin, Bokassa, nk
Benito Mussolini RIP
Botha
Muammar Gaddafi RIP
Paul Kagame
Mobutu Seseseko RIP
Robert Mugabe - RIP
 
Back
Top Bottom