Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Zito hakufukuzwa CHADEMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikao kilichomfukuza Zitto Chadema Mwenyekiti alikuwa Mbowe ma Katibu alikuwa Dr Slaa ambao wote walikuwa Wagomvi wa Zitto kwa nafasi ya Uenyekiti na ugombea Urais.
Kikao kilichomvua Uanachama wa CUF Prof Lipumba Kiliongozwa na Mtatiro na Seif ambao walikuwa ndio Walalamikaji
Aliekuwa anagawa Fomu za kugombea Urais wa Znz kupitia CUF alikuwa Seif Sharif Hamad ambae pia ndie alikuwa Mgombea wa Milele.
Kikao kilichomfukuzisha Uanachama na hatimae Kufungwa Maisha kwa tuhuma za uongo za Uhaini Marehemu Bibi Titi Mohamed Mlalamikaji alikuwa Nyerere na Mwenyekiti alikuwa Nyerere 1968.
Kwny Siasa hayo ni ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app