Hua mnafanya kwa ajili ya nani?
Sikio zaidi ya moja na kutoboa pua huwa inanikata stimu kabisa
[emoji119][emoji23]
Hahahahahaha sasa acha asije ghairishaa kukuita tena make tokea ujichukulie dollars uko bize na simu...usiku mwema
Nataka nikupende pls usifanye hvyoNatamani kutoboa mara 4 kila maskio sema kuumia tu [emoji28][emoji28][emoji28]pua nayo ningeweza ningetoboa pande mbili [emoji28][emoji28]
Wifi anamalizia bando lake kwa kugawia hotspot nyingineAahahahhhhaaaaaa!
Loooh asavaliii...!
Msalimie wifi [emoji28].
Wifi anamalizia bando lake kwa kugawia hotspot nyingine
Ukimchukua ukakuta ana moja kati ya hayo,Kutoga masikio zaidi ya tundu moja,
Kutoga pua,
Kutoga ulimi,
Kutoga kitovu na sehem zingine za mwili,
Kuvaa vikuku,
Kuchora tattoos,
Kujichubua,
Kama ww mke wa mtu achana na hizo mambo....Natamani kutoboa mara 4 kila maskio sema kuumia tu [emoji28][emoji28][emoji28]pua nayo ningeweza ningetoboa pande mbili [emoji28][emoji28]
Kama kawaida udaga, sato na sansa pembeniDaah umeshapika udaga tayari mdaa huu maana hupitwi ndugu yangu khaaa π ππππ
Loooh ππππ umenishinda tabia kamanda NSANSA tena wanikumbusha mbaliiiπ’π’π’π’Kama kawaida udaga, sato na sansa pembeni
Ukiona kavaaa mlegezo jua kuna wanaume wenzake anawavutia,Rijali hawezi vaa suruali chini ya makalio.Kwa ajili yetu wenyewe
Ni kama wanaume wanaovaa mlegezo,huwa wanavaa kwa ajili ya nani?
KabisaWe haupendi???
Hellow kasie mambo?Nna pini mbili puani aka kishaufu.
Nilivalishwa na Shangazi yangu wa Bandia baada ya kutoka unyagoni.
Navaa pete vidole vya miguuni sababu sipendi kubandika kucha.
Tundu saba sikio mojaSikio zaidi ya moja na kutoboa pua huwa inanikata stimu kabisa
[emoji119][emoji23]
Sijui kwanini sijawahi vutiwa na wadada wanaojitoboatoboa.Ningekuwa siogopi maumivu ningetoboa pua na sikio mara tatu
Napenda na zile za kitovu pia
Viko vingi nafanya kwa ajil ya ku impress watu ndio,kwani vibayaKwa ajili yetu wenyewe
Kwani wewe kila unachokifanya unafanya kwa ajili ya ku muimpress mtu
Hao sichukuagi mkuuUkimchukua ukakuta ana moja kati ya hayo,
Vaa KONDOM 4 kwa pamoja
Hii huwa navutiwa na moja iwe ya gold ama silver ila sio yale mengi kama mganga wa kienyeji.Vipi kuhusu shanga
Nimezimiss sanaLoooh ππππ umenishinda tabia kamanda NSANSA tena wanikumbusha mbaliiiπ’π’π’π’