Swali kwa dada zetu...

Swali kwa dada zetu...

Hahahaha na ugali wa kwenye chungu alafu wa moto, hapa sansa pembeni nswalu kumbuka asubuhi ulijipigia zako michembe🏃🏃🏃🏃🙌🙌🤪🤪🤪🤪
Bado mbute 😂 kwaheri buana tunaharibu uzi wa watu
 
Hellow kasie mambo?

Long time heee sikuoni jukwaani.

Pete na kucha vinaingilianaje aisee?

Urembo wangu napendelea kuvaa pete kuliko kubandika kucha.

Mambo poa, long time ila nipooo nasubiria pensheni....😜
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Viko vingi nafanya kwa ajil ya ku impress watu ndio,kwani vibaya
Mfano napenda kunukia vizuri afu ukinipa compliment furaha yangu inakamilika.

Unaona sasa unapenda kwanza kunukia then ukisifiwa ndo furaha inakamilika compliment ni yatokanayo baada ya kufanya ukipendacho
 
Back
Top Bottom