Swali kwa dada zetu...

Swali kwa dada zetu...

Sikio zaidi ya moja na kutoboa pua huwa inanikata stimu kabisa
[emoji119][emoji23]

Natamani kutoboa mara 4 kila maskio sema kuumia tu [emoji28][emoji28][emoji28]pua nayo ningeweza ningetoboa pande mbili [emoji28][emoji28]
 
Hahahahahaha sasa acha asije ghairishaa kukuita tena make tokea ujichukulie dollars uko bize na simu...usiku mwema

Aahahahhhhaaaaaa!

Loooh asavaliii...!

Msalimie wifi 😅.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Natamani kutoboa mara 4 kila maskio sema kuumia tu [emoji28][emoji28][emoji28]pua nayo ningeweza ningetoboa pande mbili [emoji28][emoji28]
Nataka nikupende pls usifanye hvyo
😓
 
Kutoga masikio zaidi ya tundu moja,
Kutoga pua,
Kutoga ulimi,
Kutoga kitovu na sehem zingine za mwili,
Kuvaa vikuku,
Kuchora tattoos,
Kujichubua,
Ukimchukua ukakuta ana moja kati ya hayo,
Vaa KONDOM 4 kwa pamoja
 
Natamani kutoboa mara 4 kila maskio sema kuumia tu [emoji28][emoji28][emoji28]pua nayo ningeweza ningetoboa pande mbili [emoji28][emoji28]
Kama ww mke wa mtu achana na hizo mambo....
manake huku kitaa tutakutongoza tukukule
 
Kwa ajili yetu wenyewe

Ni kama wanaume wanaovaa mlegezo,huwa wanavaa kwa ajili ya nani?
Ukiona kavaaa mlegezo jua kuna wanaume wenzake anawavutia,Rijali hawezi vaa suruali chini ya makalio.
 
Nna pini mbili puani aka kishaufu.

Nilivalishwa na Shangazi yangu wa Bandia baada ya kutoka unyagoni.

Navaa pete vidole vya miguuni sababu sipendi kubandika kucha.
Hellow kasie mambo?

Long time heee sikuoni jukwaani.

Pete na kucha vinaingilianaje aisee?
 
Kwa ajili yetu wenyewe

Kwani wewe kila unachokifanya unafanya kwa ajili ya ku muimpress mtu
Viko vingi nafanya kwa ajil ya ku impress watu ndio,kwani vibaya
Mfano napenda kunukia vizuri afu ukinipa compliment furaha yangu inakamilika.
 
Back
Top Bottom