RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
- Thread starter
- #21
Ndio maana nashauri maabara tofauti zitumike kama inawezekana kuhakiki majibu ya DNA kutoka maabara za nchi nyingine.kwasababu wana NIA OVU watafoji majibu ya DNA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nashauri maabara tofauti zitumike kama inawezekana kuhakiki majibu ya DNA kutoka maabara za nchi nyingine.kwasababu wana NIA OVU watafoji majibu ya DNA
Ndugu waombe kupima DNA kutoka maabara za nchi nyingine, kisha waweke ulinganifu. Sheria kama inaruhusu, lkn nafahmu ccm haiwezi kukubali.Usichokijua ni kwamba DNA wanapima CCM
Mwili wa marehem ulijeruhiwa?. Nakama ndio mbona maelezo ya DPP hayazungumzi hilo, licha yakusema Mambo mengi yasiyo namsingi kama nguo za watuhumiwa, hasa zahuyo mmoja alievaa sare za CDM?.Kwani mtu hawezi pigwa akamaliziwa kwa kunyongwa? Unadhani haikuwepo purukushani kabla ya kumnyonga?
Unaendelea kutafuta wahusikaa wengine, nasio namna alivyokufa marehem.Umeambiwa upelelezi unaendelea
Hakika mkuu.Inaweza kuwa Dam ya ngombe
Asante mkuu kwa masahihisho.Swali
Lumumba wakiacha ushabiki huwa wanaona mambo ya maana, tatizo nichama chao kinawapumbaza.Kweli kabisa,na hongera sana leo hujaweka Ukada.
Naona kwavile kesi yakisiasa, kaiharakisha mapema, sijui anafikiri itamnusuru JPM.DPP elimu yake level ya lusinde,hii awamu imewapa utopolo nafasi kubwa wakti kichwani ni watupu
Jamaa watashinda kesi mapema tu,wamempa kesi ili diwani apite bila kupigiwa kuraNaona kwavile kesi yakisiasa, kaiharakisha mapema, sijui anafikiri itamnusuru JPM.
Inawezekana wauaji ndio haoWale watu waliouawa na kuwekwa kwenye mifuko ya sandarusi nani alihusika???
Sasa wasijeshangaa, diwani akapigiwa kurua na akashinda huku akiwa gerezani. halafu hawa wahuni wanaweza muunganisha na mbunge, hawashindwi hawa mashetaniJamaa watashinda kesi mapema tu,wamempa kesi ili diwani apite bila kupigiwa kura
Kwa nini hawakukamatwa?. Nakwanini wale wauuliwaji serikali hawakutoa identity zao?.Inawezekana wauaji ndio hao
Na haiwezekani wamnyonge kwa mkanda kisha waondoke na mkanda wakae nao nyumbani! Wenyeji wamekataa kwa nguvu kabisa hawa jamaa kuhusika hivyo Mungu atatenda tu jambo juu yao. Tunamwaaminj MunguNdio masuali ambayo tunategemea DPP atajibu, maana imepita miaka mingi huku tukiambiwa hata mshukiwa hajakamatwa.
Wamekamatwa sasa, hata hao hawakukamatwa sekunde hiyo hiyoKwa nini hawakukamatwa?. Nakwanini wale wauuliwaji serikali hawakutoa identity zao?.
Waliomuua Mawazo?. Mbona kesi yao haizungumzii kuwaua hao wengine?.Wamekamatwa sasa, hata hao hawakukamatwa sekunde hiyo hiyo
Wewe ndio mjinga zaidi, kwa sababu maelezo hayo alitakiwa ayaeleze DPP, kama kaweza kuelezea mpaka alievaa nguo za CDM, kashindwa kusema kama marehemu alijeruhiwa kwanza?.Kuna maswali mengine ni ya kijinga sana.
1. Hivi mtu hawezi kukatwa mapanga halafu akanyweshwa sumu?
A. Nini kitakuwa kimemuua sumu au mapanga?
B. Mtu akanyweshwa sumu na baadae kuchinjwa kabla sumu haijatenda kazi, akipimwa si ataoneka na sumu lkn pia kachinjwa?
Kwahiyo mtu aweza kuwa alipigwa na kubleed lkn akanywangwa hadi kufa.