Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Ungekosa Cha kuandika ningeshangaaKwani wanaemuita mama Samia "mama" ni wanasiasa peke yao?
Acha UJUHA, Wapi nimesema Hana HAKI? Unanionaga mjuaji kumbe empty 🫗Kwani huyo askofu hana haki ya kusema yeye mwenyewe mpaka akusemee na wewe?
Unauliza swali Gani Sasa??Tatizo nini?
Nimeishia kucheka tuKwa sababu maaskofu wa tec siyo Watanzania.
Taifa hili limekuwa la hovyo kiasi kwamba hadi mawe yanasikitika sana Kila kukicha. Tafsiri nyepesi manaake tuna Rais ambae anapokea kila utumbo unaosemwa na hio ni kejeli kwakeHilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.
Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Mwenyekiti wa CCM, kesho watasimama na kusema kuwa CCM imeleta maendeleo Kila mahaliHuyu mazer kama ndiye amesema haiwezekani miaka 60 singida bado ni masikini, wakati miaka 60 under ccm Tanzania bado ni masikini, basi naye ni masikini wa akili.
Hujui? Huamini? Hahaha 🤣 WEWE ni mgeni Tanzania?Kwa hio K Mkumbo ni wa Singapore?
Singida wanakula yule mnyana anayebeba mizogo, hawana akili timamuHilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.
Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Huyu ni chawa mchafu hatumii kichwa chake tena bali tumbo lakeHilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.
Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Hili liko njianiTunataka na hela ya picha yake[emoji6][emoji6]
Keshokutwa ataitwa "Shosti" wa Taifa atakubaliTaifa hili limekuwa la hovyo kiasi kwamba hadi mawe yanasikitika sana Kila kukicha. Tafsiri nyepesi manaake tuna Rais ambae anapokea kila utumbo unaosemwa na hio ni kejeli kwake
Kwamba utabiri wa Sheikh Yahaya unaenda kutimia machoni petu??Mawazo mengine ni ya kimbuzi na ufala mwingi Kwa hio Mama Maria Nyerere Aitwe Bibi wa Taifa au sio? Taifa linaongozwa na mwanamke ni taifa mfu na anytime taifa hilo liko hatarini kuanguka. A woman is always a woman since creation.
HakikaWatanzania waliosoma ukiwasikia wakiongea mbele ya huyo bibi, hutatamani kumpeleka mtoto wako shule
Swali zuri,Supu leo on my bill au mtori
ACHANA NA TAKATAKA HILI, USIPOTEZA MUDA WAKO KWA TAKATAKA KAMA HIZIHilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.
Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979