Swali kwa Kitila Mkumbo; Kama Sauti ya Askofu (anayetaka Samia kuitwa Mama wa Taifa ni ya Watanzania) vipi Ile ya TEC iwe sio ya Watanzania?

Swali kwa Kitila Mkumbo; Kama Sauti ya Askofu (anayetaka Samia kuitwa Mama wa Taifa ni ya Watanzania) vipi Ile ya TEC iwe sio ya Watanzania?

Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.

Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....

Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???

Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Askofu at work!
 
Kama na Kabudi kweli ni wa Singida , basi profesa mmoja wa Tabora sawasawa na maprofessor 200 wa Singida
 
Je aliyeitwa mama wa taifa kakubali au kalikataa hilo jina tuanziae hapo? Kumbukumbu zangu zinanirudisha nyuma kidogo ambapo Hayati Benjamini Mkapa alikataa hadharani kwenye vyombo vya habari mchana kweupe jua linawaka akagoma kuitwa mtukufu rais Benjamini Mkapa kwa kuwa mwenye kustahili kuitwa mtukufu ni mwenyezi Mungu tu na si kiumbe yoyote yule.

Kwa hiyo haya malumbano yote kwenye mitandao na mitaani hayana sababu yakawepo iwapo tu aliyeitwa hilo jina atakata mzizi wa fitina kwa kulikubali hilo jina hadharani iwapo anaona viatu vya kuwa mama wa taifa vinamtosha au atalikataa hilo jina iwapo dhamiri yake itaona kweli hivyo viatu havimtoshi.

Maswali fikirishi:-
1. Je na mama Maria Nyerere mke wa baba wa taifa ambaye bado yupo hai na yeye tumuite nani?
2. Na je mume wa huyo anayetakiwa tuanze kumuita mama wa taifa na yeye yupo hai je ataitwa baba wa taifa au yeye ataspotezewa?

Ni mtizamo tu.
 
Kuna watu ni wajinga sana.

Kitila Mkumbo na huyo Askofu njaa, hawawajui mama zao? Yaani wanataka wagombanie mama wa watu na wenye mama yao? Abdul asikubali. Kitita na huyo askpfu uchwara wawatafute mama zao, wawape heshima zao. Unafiki wa kumfanya mama wa watu wengine kuwa mama yao, ukome.
Mama zao Wanateseka huko kijijiini, wao wako Kwa media kuongea ujinga kutwa kucha
 
Je aliyeitwa mama wa taifa kakubali au kalikataa hilo jina tuanziae hapo?
20230913_062446.jpg
 
Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.

Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....

Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???

Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Akijibu nistue
 
Kwanza akubali kuwa yeye ni mke wa hayati Nyerere maana Nyerere ni baba wa taifa.

Eti kaka wa taifa Tundu unalionaje hili?
 
Hilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.

Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....

Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???

Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kudunisha siku ya Nyerere day kwa kuichanganya na hafla nyingine ikiwemo kuzima mwenge, leo wamekuja tena kumpoka mama Maria Nyerere nafasi yake ya kuwa mama wa taifa, nchi ina viongozi wa hovyo sana hii.
 
Watu kama huyu Propesa Kitila ukimuwaza utajikuta unajisemea hakuna faida ya kusoma kama mtu anasema yeye ni msomi yuko hivi!
 
Sikufahamu huyu ndugu anaweza kuwa MJINGA kiasi hiki? Nilimheshimu lakini sasa nimemdharau. Nafikiri ndio maana hawezi kushinda ubunge UBUNGO
Hivi sasa ni kama kaazimwa akili
 
Back
Top Bottom