Swali kwa mkuu STUNTER

Swali kwa mkuu STUNTER

Mkuu STUNTER habari yako!

Mkuu unanipa wakati mgumu kukuelewa haswa pale napoona nyuzi zako.

Asilimia 100 ya nyuzi zako zinahusu papuchi, migegedo, na mademu.

Swali langu kwako mkuu, imekuaje mpaka imefikia hatua nyuzi zako zote zikawa zimejikita kwenye mienenendo hiyo?




inaelekea unamkubali sana STUNTER mpaka umeshindwa kuvumilia. me nakushauri mpe dada yako bure ili uwe na ukaribu nae
 
Mkuu STUNTER habari yako!

Mkuu unanipa wakati mgumu kukuelewa haswa pale napoona nyuzi zako.

Asilimia 100 ya nyuzi zako zinahusu papuchi, migegedo, na mademu.

Swali langu kwako mkuu, imekuaje mpaka imefikia hatua nyuzi zako zote zikawa zimejikita kwenye mienenendo hiyo?
Kwanza kabisa unakosea sana kusema mada zangu 100% zimeegemea kwenye mapenzi,
Wanaonijua wanatambua kwamba mimi niko vizuri kote kote na majukwaa mengi tu natupia thread,
isipokuwa labda huenda wewe unapenda kutembelea jukwaa la MMU ndomana ukinikuta kule unasema nime base kule,
 
Dunia sinia kila mtu anapakua anachoweza. Chagua unachoweza kisha kifanye unavyoweza.

Kuna mtu ni mchezaji wa tenesi tu na hachezi football. Utauliza kwanini anacheza tenesi tu?

Asalaam.
Well said mkemia, haujawahi kuniangusha
 
Huyo jamaa ni kungwi, ngariba na SHILAWADU.... Hahahahaaaa.... Mwenyewe nishapataga shida kumuelewa huyu jamaa,... Na nakumbuka nilishawahi muulizaga mwenyewe,..... Ninachokiona kwa huyu jamaa kiukweli,... Huyu jamaa sio kwamba ni playboy, hapana! Ila huyu jamaa amesoma upepo wa watu wa humu ndani akajua members wengi wanapenda saaana habari za ngono na mahusiano,... Hakuna kitu kizuri kama unaandika post halafu ikawa na wachangiaji wengi, (Yaani kama Diamond tu) hasa habari inayowahusu wanawake... Na ni kweli STUNTER, hana habari zaidi ya hizo....
Pili huyu jamaa ni mediator..... Ni mtu anaependa kukosoa na kuelimisha kwenye masuala haya ya mapenzi, huku akiegemea sana kwa wanawake,... Anamkosoa mwanamke na kumsifia mwanamke,... Akiwa na lengo la kuwavutia wanawake walio na mahitaji ambayo kwake yanaonekana anayaweza kuyatekeleza, huyu ni FISI asiyetumia nguvu,.. Ni jini mahaba wa kisayansi.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nanoli jiandae kwa intavyuu
 
Umaarufu kazi kwelikweli!!!
Wamefanikiwa kumuangusha Nyani Ngabu, naona wanahamia kwa Stunter...
Stunter usipanic ukapewa ban buree
 
Mkuu STUNTER habari yako!

Mkuu unanipa wakati mgumu kukuelewa haswa pale napoona nyuzi zako.

Asilimia 100 ya nyuzi zako zinahusu papuchi, migegedo, na mademu.

Swali langu kwako mkuu, imekuaje mpaka imefikia hatua nyuzi zako zote zikawa zimejikita kwenye mienenendo hiyo?
Ungenukuu baadhi ya bandiko zake ingekuwa bora zaidi...kuliko kileta hewa hapa
 
Back
Top Bottom