Swali kwa ndugu zangu Waislam

Hapana Hilo Halina Maana kuhusu Nia ya Kupatana Hilo.linamaanisha Ukifanyiwa Ubaya Ulipe kwa Wema..

Yaani Mtu akikutukana wewe Msifie akikupiga Kofi moja Mgeuzie Na Upande mwingine..

Haimaanishi ushindwe Kupatana naye
 
Hapana Hilo Halina Maana kuhusu Nia ya Kupatana Hilo.linamaanisha Ukifanyiwa Ubaya Ulipe kwa Wema..

Yaani Mtu akikutukana wewe Msifie akikupiga Kofi moja Mgeuzie Na Upande mwingine..

Haimaanishi ushindwe Kupatana naye
Kwahiyo ndugu yangu akinichukia si ndio UBAYA wenyewe huo, kwahiyo nipatane naye kwa kurudi kwenye uislamu?🤣🤣
 
Vyote ulivyovitaja hakuna hata kimoja kinachokinzana na Uisilamu, sijajua point yako ni nini, pia kufuata Nusu ya Aliyoleta Yesu na kuacha nusu si kumfuata Yesu bali ni kufuata matamanio ya nafsi.
YESU ni mwana wa Mungu, na huwezi kwenda mbinguni bila kupitia kwake

Je UISLAMU unayakubali hayo?

YESU alisisitiza ubatizo ,JE uislamu unatambua hayo?

YESU alisema tuombe chochote kwa JINA lake , Je UISLAMU unatambua hilo?
 
YESU ni mwana wa Mungu, na huwezi kwenda mbinguni bila kupitia kwake

Je UISLAMU unayakubali hayo?

YESU alisisitiza ubatizo ,JE uislamu unatambua hayo?

YESU alisema tuombe chochote kwa JINA lake , Je UISLAMU unatambua hilo?
Kwake kama mtu ama kwake kwa mafundisho? So far hakuna evidence yoyote ya Divinity ya Yesu kwenye Biblia zaidi ya kupindisha tu maneno. Na nikukumbushe trinity imeanza karne ya 3 baada ya Yesu kufa, why isianze wakati wake?
 
Biblia ipo kimafumbo ndiyo maana unatakiwa utulize kichwa. Ukisoma mstari kwa mstari na ukaelewa hivyo utajikuta unaleta maana nyingine.
Mfano:

Luka 10:19
19. Nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na kushinda nguvu zote za yule adui; wala hakuna kitu cho chote kitakachoweza kuwadhuru. Kamganyage ng'e au nyoka uone. Ng'e na nyoka ni wafuasi wa shetani yaani majini, wachawi, waganga n.k

Mathayo 10:34-35..

"34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga"

Maana yake. Kabla ya kuja Yesu, watu walikuwa wanaabudu mizimu au kufuata sheria zao wanazozijua ndiyo maana kipindi Yesu alipozaliwa, alikuja na neema mpya. Watu waache dhambi wamrudie Mungu. Mwanamke akidhini, basi anapondwa mawe mpk kufa. Yesu alipokuja alifuta hii, kama kuna mtu miongoni mwenu ambaye siyo mwenye dhambi basi awe wa kwanza kumrushia mawe. Wenye sheria hii umetangaza vita (siyo amani). Unapookoka vita inaanza kwenye ulimwengu wa roho (siyo amani)
Ukiwa miongoni mwa familia ya wachawi, ukaacha uchawi ndugu na jamaa watakuchukia. Kwenu wakiwa walevi au marafiki zako ukaacha ulevi ukaanza kuwahubiria. Wataanza kukuchukia kwa maana hiyo siyo amani tena kwasababu hakuna amani kati ya nguvu za giza na ulimwengu wa nuru.
Upanga maana yake ni nguvu ya Mungu inayoharibu nguvu za giza ndiyo maana ameleta upanga.

35 Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;"
Maana yake
Unapokuwa mfuasi wa Yesu unaibua vita kati ya ndugu hata wazazi kwasababu kwa wazazi kuna wengine wanaimani tofauti wengine ni washirikina. Mfano hai hamis77 alipomkubali Yesu kuwa bwana na mokozi wake basi baba, dada na wengine walimjengea fitina kwasababu yeye ni mkristo. muislamu ameuacha uislamu. Marafiki zake ambao walikuwa waislamu watamtenga km alikuwa mtu ni mchawi anaenda kuwanga na baba yake naye akaoka basi ugomvi utaibuka kati ya baba na mtoto.


Luka 19:26-27..

26 Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.

Ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu. Kama una nguvu za Mungu, ukazidi kumuomba na kufuata sheria zake basi Yesu atakuongezea ila ukiwa leo upo vuguvugu yaani unamuomba Mungu kesho unazini, kesho kutwa unaiba, unasema uongo, upo kwa waganga, unakunywa pombe n.k basi hiyo nguvu itapotea yenyewe (maana yake utanywang'anywa). Utakuta mtu alikuwa mtumishi mzuri tu ila baadae utamkuta ni mlevi. Haipo tena nguvu ya Mungu.
Biblia ipo kimafumbo sana

 
Umeelezea vizuri sana.Wamekuelewa.Watajifanya hawajakuelewq.
 
Umeaandika maneno matupu hakuna ushahidi.

Sioni haja ya kupoteza muda wangu.
Naona unaupaka rangi uislamu.
Waislamu ni wazuri wakiwa wachache tena kwenye sehemu ambapo idadi yao ni ndogo sana kama bara (Tanganyika). Utawaona kama wema hivi ila wakiwa wengi hawa jamaa wanafujo yaani kukuua kwao ni kitu cha kawaida.
Hapo Zanzibar kipindi cha ramadhani, chukua soda yako kaa sehemu hadharani unakunywa. Utashangaa mtu na kanzu yake anakuja na mafimbo tena hapo ametoka msikitini kuja kukupiga. Funga yako inanihusu nini mm?
 

Idadi ya waislamu ni ndogo sana Tanzania Bara Kwa Takwimu zipi??. Ulifanya Sensa ndugu Mtafiti??

Kuhusu swala la Zanzibar yale ni mafundisho ya uislamu au ni waislamu wameamua vile??

Kuna Mitume na manabii wa uongo katika ukristo wanawatapeli watu jee tuuhukumu ukristo kwa jambo hili.

Kwani ukristo umefundisha Watu kutapeli wenzao.!!

so Unapata kujua Kwamba unatakiwa uJenge hoja kwenye mafundisho ya uislamu na Ulete ushahidi sio kwenye matendo ya waislamu.

Usijengee hoja kwenye matendo ya watu kwa sababu kuna mapadri wanawatoto kuna masista Wanashiriki ngono kuna Wachungaji Wanakunywa pombe na wazinzi lakini mimi siwezi Kujengea hoja hayo kwa sababu hayo ni matendo yao kwa utashi wao wa kibinadamu na sio mafundisho ya kile wanachokiamini.

SIJUI UMEELEWA??
 
Ni kweli huwezi kulinganisha Quran na bibilia kwa maana Quran ni maneno ya Allah na bibilia ni maneno ya Paulo
 
Sasa hivyo vyuo si wameee.da kusoma kwa hela zao? Wewe umesoma huko au ndugu yako maana unasema mnamiliki hivyo vyuo?
Kazi kwelikweli. Waafrika tuna shida sehemu.
 
Sasa hivyo vyuo si wameee.da kusoma kwa hela zao? Wewe umesoma huko au ndugu yako maana unasema mnamiliki hivyo vyuo?
Kazi kwelikweli. Waafrika tuna shida sehemu.
Kulipa pesa zao sio shida.
Narudi pale pale muislam hana hoja ya kumkosoa mkristo ndo ninachikinaanisha. Kama Tanzania tuliona ninyi ni wajinga sana mpaka tukawapa chuo mtoe uninga leo unaongea kuhusu sisi
 
Kulipa pesa zao sio shida.
Narudi pale pale muislam hana hoja ya kumkosoa mkristo ndo ninachikinaanisha. Kama Tanzania tuliona ninyi ni wajinga sana mpaka tukawapa chuo mtoe uninga leo unaongea kuhusu sisi
Kazi kweli, umetisha
 
Kulipa pesa zao sio shida.
Narudi pale pale muislam hana hoja ya kumkosoa mkristo ndo ninachikinaanisha. Kama Tanzania tuliona ninyi ni wajinga sana mpaka tukawapa chuo mtoe uninga leo unaongea kuhusu sisi
Sasa hata kuandika hujui alafu unajisifia umetupa chuo.

UNASIKITISHA.
 
Sasa hata kuandika hujui alafu unajisifia umetupa chuo.

UNASIKITISHA.
Hiyo najua umelewa kuwa ni keyboard wrong typing. Na si kwamba sijuwi kuandika hayo maneno

Inajulikana wakristo waliwapa Chuo ili mkatoe ujinga
 
Na wewe toa aya Yesu kavaa kanzu fupi,Yesu kasujudu.Halafu usidhani Kila anayevaa kanzu ni muislamu.Vinginevyo tuseme uislamu ni ibudha,maana wahindi na wachina wanavaa kanzu.Kanzu ni tamaduni za mashariki ya kati.Kabla ya uislamu wayahudi walikuwa wakivaa kanzu.Mimi ni mkristo ninayevaa kanzu.Tatizo lenu hamna elimu ya uchambuzi wa mambo.Ili uweze kujua Yesu alikuwa wa dini gani usiangalie mavazi tu,maana mavazi huvaliwa na watu wa dini zote.Hata mabudha huvaa kanzu,nao waislamu?Padri huvaa kanzu,naye ni muislamu?Angalia Sheria zilizokuwa zikikaziwa na kufuatwa na manabii wa kale,kisha uangalie ni dini ipi inazifuata sasa.Manabii wote walikuwa watunza sheria zilizotolewa kwa mkono wa Musa pale Sinai.Mfano;Musa aliambiwa yeye na watu wake baada yake waikumbuke na kuitunza SABATO ambayo ni jumamosi(kutoka 20:8,Quran 4:154).Je,waislamu leo mbaifuata?Yesu alikuwa anaitunza pia(Luka 4:16).Musa aliambiwa asile najisi ikiwa ni pamoja na nguruwe,sungura,ngamia(walawi 11:4),je ninyi nanyi hamli ngamia?Kama hamzifuati hizo,utasemaje imani yenu ndo ya manabii akiwapo Yesu?
 
Yeah ignore point zote za Riba, na mengineyo halafu suggest kama nimetoa point moja tu?

Kuhusu Wayahudi kukatazwa Kula Ngamia na wanyama ambao kwato Hazijagawanyika hio ilikua ni Adhabu, kabla ya hapo walikua wanakula na wakapewa hio Adhabu baada ya Exodus.

Imeelezewa kwenye Quran

For those who followed the Jewish Law, We forbade every (animal) with undivided hoof, and We forbade them that fat of the ox and the sheep, except what adheres to their backs or their entrails, or is mixed up with a bone: this in recompense for their wilful disobedience: for We are true (in Our ordinances). Surah Al An’am:146.

Same kwa sabato imeelezewa kwa Uwazi ni siku ya wayahudi, na si ya waisilamu.
 
Hiyo najua umelewa kuwa ni keyboard wrong typing. Na si kwamba sijuwi kuandika hayo maneno

Inajulikana wakristo waliwapa Chuo ili mkatoe ujinga
Kajifunze kuandika kwanza.

Nyie wasomi wa Dini hiyo mna tia aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…