mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mkiyapata majibu ya swali hili mtajua umuhimu wa kulinda ndoa zenu.
Maandiko yanasema mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Umeolewa unakuta sms moja tu kwenye simu ya mumeo unaondoka na watoto.unaenda kuolewana lizee au unageuka nyumbandogo ya mume wa mtu.
Hao watoto uliokimbia nao siku ya harusi high table inamlazimu baba mzazi kuchukua nafasi yake na huyo baba wa mchongo yuko mafichoni akifatilia kama wageni waalikwa wengine
Linda ndoa yako
Maandiko yanasema mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Umeolewa unakuta sms moja tu kwenye simu ya mumeo unaondoka na watoto.unaenda kuolewana lizee au unageuka nyumbandogo ya mume wa mtu.
Hao watoto uliokimbia nao siku ya harusi high table inamlazimu baba mzazi kuchukua nafasi yake na huyo baba wa mchongo yuko mafichoni akifatilia kama wageni waalikwa wengine
Linda ndoa yako