Ulisikia madaktari wakiongea chochote au yeye ndiye alijiongelesha? Utamwaminije mtu muongo aliongea kusudi madaktari wakanushe waseme haumwi anaumwa ugonjwa mwingine halafu aje kisiasa kusema madaktari wametoa siri za ugonjwa wake kinyume na maadili ya kidaktari kuwa ugonjwa ni siri kati ya daktari na mgonjwaMaalimu Seif anaumwa nini tuanzie hapo
OK kwa hiyo alitoka eneo la Corona FREE la Tanzania ambako CORONA hakuna alikokuwa havai barakoa toka kuingia nchini akawa anaingia Corona zone ya kupaa kuelekea eneo lenye Corona!!Protocol ya Airport na kwenda kwenye ndege ni mandatory uvae barakoa no matter who you are!
Airport ni kama upo international waters....sheria za nchi na propaganda zenu unaachia hapo mlangoni....
Airports duniani zina standards..na ni lazima JKNIA lazima wafuate lasivyo ndege hazikanyagi...
Lissu hakua na option ni lazima avae....
Stop this nonsense ndugu yangu..unajitoa ufahamu sana mpaka unashangaza
jibu swali uliloulizwaKwani YEHODAYA . Corona (Covid 19) haipo Tanzania? Kwani aibu ya nini na Corona haijaanzia Tz?!
Tundu ndiyo unaemuona? Waulize viongozi wenye dhamana wamewaandaa wananchi namna gani.
Waulize wengine waliofanya dhihaka na Corona, leo wanajuta.
Katika kipindi chote cha kampeni hakukaribiana na macorona ya CCM.Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.
Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.
Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?
Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.
jibu swali ulilo ulizwa na mtoa mada, tumia akili au hujaelewa swaliNatoka Muhimbili JKCI sasa hivi hakuna kuingia kumuona daktari kama hujavaa barakoa na wateja wamepungua sana kwa kuogopa maambukizi.
Jitu linaropoka eti hakuna Corona ilihali hana research,facts wala figures.
mkuu kuna hii inaitwa heard immunity watu wengi wanapata mwisho wa siku kunakuwa na kinga kwa watu na kitu kimoja muhimu Tanzania vijana wengi unaweza kupata corona wewe na wala usisikie kitu mpaka unapona na usijue kama ulikuwa na corona, ikitokea umeenda kupima lakini umeshapona corona wewe hukujuwa wao wataona hawa askari Antibodies dalili ulipata corona sasa hawa askari ndio kinga. Na wengi sana wana corona bila kuumwa. chukulia Malaria akija mtu toka nje maisha yake hajawahi kupata malaria akija kupata anapata shida sana mwili ukijenda askari wa malaria akija kupata tena ataenda kununua dose tu mwenyewe. umewahi kusikia wachezaji maarufu kwa kuwa wanapimwa corona kimchezo anaambiwa una corona ila hawaumwi kitu ina maana asingepima wala asingejuwa kama ana corona.Ilipunguaje hiyo corona hapa Tz mkuu au ndio yale maombi? mimi hili jambo la Corona kupungua linanitatiza sana.
Ila sishangai maana hata humu mnabishana kwamba wengine wanasema corona hakuna na wengine wanasema ipo halafu wote mnazungumzia nchi moja,kila mtu kachagua kuona anavyotaka.Kusema wewe kitu ni cha msingi sio lazima kiwe cha msingi kwangu au kwa mwingine
Itoshe kusema ni la msingi kwako wewe
Mimi naliona hovyo kabisa
Asante
Natoka Muhimbili JKCI sasa hivi hakuna kuingia kumuona daktari kama hujavaa barakoa na wateja wamepungua sana kwa kuogopa maambukizi.
Jitu linaropoka eti hakuna Corona ilihali hana research,facts wala figures.
Watu tuchukue tahadhari afya yako ndio mtaji wako. Mimi pia jana nimeenda hospital dodoma, hospital ni full barakoa. Pia sijaona sababu ya kusubiri mpaka tuambiwe wakati njia za kujikinga tunajua.Corona ilikuwepo ikapungua sana tu kama ikapotea sababu ya heard immunity hii ni second wave kutoa SA mdudu kajigeuza ipo sana temebelea Hosp ndio utajuwa hali sio shwari.
wewe hujiulizi kwanini viongozi wanatumia nguvu sana kukana. jana katibu kafanya ziara yeye anaonesha havai barakoa watumishi wote barakoa sababu wanaona wagonjwa daily wanajuwa hatari mbele yao. Ipo sana tuombe Mungu hii nalo lipite kama la kwanza lakini sio kukataa hakuna.
Anayetamani wafe ni yule anayewadnganya tatizo halipo kumbe lipo na yeye anajua lipo.Upinzani mbaya sana.
Mtu anatamani ata nusu ya Watanzania wafe ili apate la kuongea, kwann Watanzania tusiwe wamoja.
Ndio maana niksema kuwa hili suala la Corona kupungua linanichanganya kwa sababu kila mmoja anaeleza kivyake kuhusu kupungua kwa corona Tz,wengine wanasema tulifanya maombi na kuzingatia tahadhari za kujikinga na corona kama kuvaa barakoa kunawa mikono na kuepusha misongamano hizo ndio mbinu zilizotumika hadi corona ikapungua.mkuu kuna hii inaitwa heard immunity watu wengi wanapata mwisho wa siku kunakuwa na kinga kwa watu na kitu kimoja muhimu Tanzania vijana wengi unaweza kupata corona wewe na wala usisikie kitu mpaka unapona na usijue kama ulikuwa na corona, ikitokea umeenda kupima lakini umeshapona corona wewe hukujuwa wao wataona hawa askari Antibodies dalili ulipata corona sasa hawa askari ndio kinga. Na wengi sana wana corona bila kuumwa. chukulia Malaria akija mtu toka nje maisha yake hajawahi kupata malaria akija kupata anapata shida sana mwili ukijenda askari wa malaria akija kupata tena ataenda kununua dose tu mwenyewe. umewahi kusikia wachezaji maarufu kwa kuwa wanapimwa corona kimchezo anaambiwa una corona ila hawaumwi kitu ina maana asingepima wala asingejuwa kama ana corona.
Kwania corona haipo Tanzania.......Raisi alisema watu wamekwenda nje kupata chanjo na wameleta corona ya ajabu ajabu.......bado unampinga hata yeye....au ni Tanzania gani unayoisemea?Muulize mnafiki mwingine huyu anayesema Corona ipo Tanzania na huyo akiwa kwenye mkutano wa hadhara barakoa hana!!!! Kama Corona ipo mbona domo lake halina barakoa na hazingatii social distancing?
Suala la maombi ondoa hilo, kuomba ni vizuri lakini hakuna maajabu katika kupona ni lazima utibiwe. Suala la kunawa mikono, kuvaa barakoa na mikusanyiko kuzuiwa wakati ule yes inaweza kuwa imesaidia sana tu lakini pia kuna heard immunity. haya yote uliyosema yalichangia ila tusiseme maombi hapana hiyo ni siri ya Mungu kama alipokea maombi au hapana hatuna njia ya kuthibitisha. Tuseme kweli maombi sasa tumekosa nini tena limeturudia tena?Ndio maana niksema kuwa hili suala la Corona kupungua linanichanganya kwa sababu kila mmoja anaeleza kivyake kuhusu kupungua kwa corona Tz,wengine wanasema tulifanya maombi na kuzingatia tahadhari za kujikinga na corona kama kuvaa barakoa kunawa mikono na kuepusha misongamano hizo ndio mbinu zilizotumika hadi corona ikapungua.
Sasa wewe unaeleza habari za heard immunity.
Anaetamani wafe ni yupi anayetamani ujihadhari au anayekudanganya ili ufe.Upinzani mbaya sana.
Mtu anatamani ata nusu ya Watanzania wafe ili apate la kuongea, kwann Watanzania tusiwe wamoja.
Duh haya mkuu.Suala la maombi ondoa hilo, kuomba ni vizuri lakini hakuna maajabu katika kupona ni lazima utibiwe. Suala la kunawa mikono, kuvaa barakoa na mikusanyiko kuzuiwa wakati ule yes inaweza kuwa imesaidia sana tu lakini pia kuna heard immunity. haya yote uliyosema yalichangia ila tusiseme maombi hapana hiyo ni siri ya Mungu kama alipokea maombi au hapana hatuna njia ya kuthibitisha. Tuseme kweli maombi sasa tumekosa nini tena limeturudia tena?
Subiri itapokulaza au kumlaza ndugu yako ndo utajua ipo au haipo.Nauliza yeye kwa nini hakuwa akivaa barakoa kama Corona ipo? viongozi walikuwa hawavai barakoa sababu wanajua haipo yeye anayesema ipo na wakati hakuwa akivaa barakoa yeye na familia yake ndie nataka ajibu.
Viongozi hawavai barakoa na walikuwa hawavai na hata sasa hawavai .Yeye ndiye ajibu anasemaje ipo wakati barakoa alikuwa havai?
Itakulaza wewe unayeamini ipo.wewe imekulaza? ndugu yako gani imemlaza tupe jina mahali aliopkuwa akiishi na hospitali alikatokomea na kifo tuhakiki kama kafa kwa CoronaSubiri itapokulaza au kumlaza ndugu yako ndo utajua ipo au haipo.