Swali kwa Tundu Lissu: Kama Corona ipo Tanzania, kwanini toka alipoingia Tanzania na kipindi chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa?

Swali kwa Tundu Lissu: Kama Corona ipo Tanzania, kwanini toka alipoingia Tanzania na kipindi chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa?

Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.

Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.

Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?

Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.
Korona sio suala la Tundu Lissu bali wewe na familia yako. Korona ni suala la afya, ila kwa akili za kuokoteza na MATAGA, mmegeuza kuwa ishu ya kisiasa.
 
wewe im

Itakulaza wewe unayeamini ipo.wewe imekulaza? ndugu yako gani imemlaza tupe jina mahali aliopkuwa akiishi na hospitali alikatokomea na kifo tuhakiki kama kafa kwa Corona
Usiumize watu vichwa na uhaba wako wa ufahamu. Hiyo wizara ya afya inahangaika nini kuhamasisha ufukizaji na kunywa madawa ya kienyeji kama hakuna ugonjwa?

Peleka ujinga mbele..
 
Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.

Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.

Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?

Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.

MIE SIO MSHABIKI WA SIASA ZA TZ BUT KUNAPICHA ALIONEKANA AMEVAA AU KAZIWEKA CHINI YA KIDEVU, ANYWAY YOTE NA YOTE MUNGU ATATULINDA NA JANGA HILI

1612438926899.png

1612438966443.png
1612438993438.png
 
Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.

Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.

Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?

Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.

Vipi jombi swali lako lingalipo? Zingatia mzee baba alisema corona hamna, ilikwisha, aaaah aah ipo kidogo tu.

Kwenye hizo labda alimaanisha ni multiple choice. Wewe wachagua ipi?
 
Kwa hiyo Lisu alikuwa akifanya kusudi akiwa Tanzania ili aambukizwe corona? Mbona hakuambukizwa sasa kama ipo? Ukimwi upo ukivunja masharti unakuvaa je Lisu mbona pamoja na kuvunja masharti ya kujikinga na Corona mbona haikumpata ingekuwepo si angekiona cha mtema kuni
Mmm! Mbona unatia shaka uwezo wako wa kufikiri.
Kwani wote wanaofanya ngono na wenye ukimwi wanapata ukimwi! Kwani wote wanaokula chakula chenye sumu kwenye shughuri wanakufa!
 
wewe im

Itakulaza wewe unayeamini ipo.wewe imekulaza? ndugu yako gani imemlaza tupe jina mahali aliopkuwa akiishi na hospitali alikatokomea na kifo tuhakiki kama kafa kwa Corona
Mkuu hebu acha kujitoa ufahamu basi japo hata kidogo tu.
 
Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.

Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.

Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?

Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.
Lissu mwenzako anapata chanjo. Anaendelea na maisha jali maisha yako. Watu wapo hospitali wanaumwa wewe unaweka siasa
 
Korona ipo

Mpo kwenye denial....

Only CCM na few fake leaders running this illegitimate government out of 60mil people in TZ are denial eti hakuna corona
Kipindi cha kampeni wote mliungana mnaosema corona ipo na wenye kuamini corona haipo wote mlikuwa kitu kimoja haikujulikana nani anaamini corona ipo na yupi anaamini haipo,sasa baada ya uchaguzi kuisha ndio mnarudi kubishana tena.

Hao viongozi wa serikali pamoja na ccm kwa ujumla walikuwa na tofauti gani na viongozi wa upinzani wakati ule wa kampeni kwenye hii issue ya corona? ulikuwa unaweza kuwatofautisha?
 
OK kwa hiyo alitoka eneo la Corona FREE la Tanzania ambako CORONA hakuna alikokuwa havai barakoa toka kuingia nchini..
Kama corona haipo Tanzania, mbona Jana tu jiwe kahimiza wananchi kuchukua tahadhari ya corona ikiwemo kujifukiza?!!!

 
Swali lako ni la kijinga ktk karne hii sijapata sikia kwani ni sawa na mtu aulize kuwa inawezekana vipi mwanamke apate mimba bila kunyanduliwa

Hii sasa inaitwa "ustake ncheke."

Ama hakika mwatuchekesha sasa. Ati nini?

😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Anayetamani wafe ni yule anayewadnganya tatizo halipo kumbe lipo na yeye anajua lipo.
Believe me wapinzan hawajielewi, ata wangejihadhari bado wangepinga kujihadhari, hamna kazi rahisi dunian kama kupinga
 
Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.

Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.

Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?

Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.
Anatumika kama toilet paper
 
Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.

Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.

Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?

Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.
Aliyoingia kwenye siasa amekuwa mtu wa ajabu sana..
 
Tundu Lissu amekuwa akidai kuwa Corona Tanzania ipo akiwa Ubelgiji ukimbizini. Akiwa Tanzania hakusema toka siku ya kwanza alipotua tu uwanja wa ndege alivua barakoa na hakuivaa tena kipindi chote cha miezi mitatu aliyokaa Tanzania akifanya kampeni akizungukwa na umati wa watu wasiovaa barakoa.

Alipokuwa akiondoka nchini kurudi ubelgiji akiwa Airport ndio akavaa barakoa ya kuondoka nayo kwenda Ubelgiji.

Swali kwake, Kama Corona ipo Tanzania kwa nini toka alipoingia Tanzania na kipindi Chote cha kampeni miezi mitatu hakuvaa Barakoa na hakuugua Corona yeye na umati wote ule uliokuwa unafurika mikutano yake?

Nadhani hata wazungu sasa watamuona hayuko sawa na kuwa taarifa zake si za kuaminika na yeye si wa kuaminika, akiwa Tanzania anakuwa kivingine akiwa kwao kivingine.

Vipi mtoa mada. Bado unasimama na uzi wako? Habari hii kwa wenye akili yaweza kuokoa maisha:

IMG_20210216_044017_271.jpg


Ni heri wao wenye kujali maisha hata ya wasio wafahamu.
 
Nauliza yeye kwa nini hakuwa akivaa barakoa kama Corona ipo? viongozi walikuwa hawavai barakoa sababu wanajua haipo yeye anayesema ipo na wakati hakuwa akivaa barakoa yeye na familia yake ndie nataka ajibu.

Viongozi hawavai barakoa na walikuwa hawavai na hata sasa hawavai .Yeye ndiye ajibu anasemaje ipo wakati barakoa alikuwa havai?
Nonsense!
 
Back
Top Bottom