We nae ni mtamu. Dah.
Wana jukwaa jumapili njema
Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine?
Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.
Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?
Karibuni sana.
Hahahaaaaa wafupi ni husband materials kama ulikua hujui lols! Lakini kwenye showing off kitu jaluo aliyepanda hewani!
Uwiiiiiiiiiii........ that's so sweet! Niko tayari kuwa mke wa nne! Yaani nilihisigi siku nyingi!
Kama unataka jibu la kisayansi na kisaikolojia.....wanawake huwa wanapenda kufeel small na protected mbele ya men; the taller and bigger the man, the smaller the female, afu pia darker colour is psychologically associated with increased strength na security. Sijui umeona asa hapo....
Courtesy of some internet article....
Kwa hiyo warefu ni kwa ajili ya show off na presentability tu,kwende ndoa unatafta shotii?
I won't care! Hongera lakini! Sijawahi kukutana mrefu halafu yupo legelege! Sijui inakuwaje!
Kwani akina dada wenye 8 figure wana nini tofauti na wadada wengine
Ulihisi nini sugarplum?
We nae ni mtamu. Dah.
Mmmmmmh how many so far mpaka u generalize????!!
Ulihisi nini sugarplum?
Shotii ni last option nikifika 33 kama nimekosa kabisaaaaaaaaaa tall!
Kwamba huyo kaka ni HYBRID!
Shotii ni last option nikifika 33 kama nimekosa kabisaaaaaaaaaa tall!
I like tall man. So sweet
Hahaaaaa limekaa kimtegomtego halafu mi nawaza kukulenga lols!
Makalio makubwa not true!Ugonjwa wetu huo kama ilivyo kwa wanaume na wanawake wenye makalio makubwa!
Chunga maandishi yako!