Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

We mwanamke wewe,kwa hiyo shotii wangoje reject,aisee!watu wa haki za binadam wakikusikia hawakuachii,huu ni unyanyasaji na unyanyapaaji wa kimo.

Hahahaaa we hujui simba akizidiwa hula majani? Mi napenda nyama nikikosa nyama kuliko kufa njaa basi nitakula majani shingo upande!
 
Duh!
Hii thread imekaa zaidi kiuchonganishi sasa ngoja waje wenyewe kujibu hoja zao,yaani avatar yangu ni urefu,weusi kiasi km umuonavyo BHO hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…