Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Hawajionagi inferior mkuu siku zote wanajiona superior nafikir hii ni kwa ajili ya defensive mechanism... ni mtazamo wangu lakini

na kwanini hupendi wanaume waongeaji sana? wanakuboa au nini sababu
 
Pimbi ndo nani na sani ndo nini?

Inaonekana umri wako ni mdogo sana jarida la sani kulikuwa kuna Dr Love Pimbi, komredi kipepe, profesa ndumilakuwili, sokomoko, Betina, Mzee Ole na wengineo, wakubwa wenzangu hapa nitakuwa nimewakumbusha mbali, pole bibie hapa JF tunajichanganya watu wa umri tofauti.
 
Naturally mie sio muongeaji sana, uwa naboreka kua na mtu anayeongea sana hasa in relationship.. I hate that mkuu

sorry kwa maswali.. wadada wengi wanapenda wanaume wenye pesa... unalizungumziaje hili?
 
Inaonekana umri wako ni mdogo sana jarida la sani kulikuwa kuna Dr Love Pimbi, komredi kipepe, profesa ndumilakuwili, sokomoko, Betina, Mzee Ole na wengineo, wakubwa wenzangu hapa nitakuwa nimewakumbusha mbali, pole bibie hapa JF tunajichanganya watu wa umri tofauti.

Inawezekana tatizo sio umri but interest.

Kama sina interest ya kusoma majarida siwezi kujua hao ni kina nani.
 
sorry kwa maswali.. wadada wengi wanapenda wanaume wenye pesa... unalizungumziaje hili?

Hahahahaahaa kwa kweli hiyo sio feature ya future husband nimtakayee, akiwa na career yake tu itakayofanya tukashare majukum nice kwangu ila asiwe short hahahaa kwasababu atakuwa stubborn
 
Kiukweli mie ni mrefu mweusi wa kung'aa na unene kwa mbali kidogo. Huwa nasumbuliwa sana na wadada. Wengi hata tunakutana barabarani utasikia wanasema mkaka handsome kama wapo wawili au zaidi.
Hiyo nimefuatilia ninkweli dada zetu wanapenda sana watu wa namna hiyo.

Ni kweli tuna admire Neema za Muumba ! Adam wa kwanza alikuwa hivi jamani!
 
I see! Nahisi kn kaukweli, mm ni type hy hy! Tall 'n black! I see! Kn kitu hapa
 
Back
Top Bottom