Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hii umetoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzinzi umetamakaki.Wasalaam JF
Rejea muktadha wa jicho la habari ulivyosomeka, naomba michango ya majibu yenu, wanandoa sio misukule wana kumbukumbu, wana akili za aina mbalimbali ikiwemo unafiki.
Je, kama ni kweli wanandoa hasa mwanamke kwa msisitizo kwa nini sharti abadili namba yake ya simu? baada ya kufunga ndoa kunani?
Hoja ya msingi ni nini, na mwafanya hivyo ili kumfurahisha nani, mwaogopa tindo tindo za kwazima?
Hio ni nini kina yahe?
Majibu tafadhari
Wabillahi Tawfiq
Asalaam Aleykhum
hakuna shart la kisheria ktk kufunga ndoa kwenye UISLAMU linalosema hivyo. UISLAMU NI DINI NYEPEESI KTK KILA JAMBO. KWANI KILA JAMBO LINA MAELEKEZO YAKE HIVYO UKIKUTA UKAKASI KAMA HUO, TAMBUA NI UZUSHI.Wasalaam JF
Rejea muktadha wa jicho la habari ulivyosomeka, naomba michango ya majibu yenu, wanandoa sio misukule wana kumbukumbu, wana akili za aina mbalimbali ikiwemo unafiki.
Je, kama ni kweli wanandoa hasa mwanamke kwa msisitizo kwa nini sharti abadili namba yake ya simu? baada ya kufunga ndoa kunani?
Hoja ya msingi ni nini, na mwafanya hivyo ili kumfurahisha nani, mwaogopa tindo tindo za kwazima?
Hio ni nini kina yahe?
Majibu tafadhari
Wabillahi Tawfiq
Asalaam Aleykhum