Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Punguza gubu na nogwa mkuu utawapata wengi tu.
 
Usituharibie kijana tafadhali.
 
Shikilia huyo mwanamke kwa nguvu zako zote
 
umekuwa mlaini sana, nilijua tu lazima akuteme
miezi mi 2 hakuna mawasiliano unabeba zawadi nini
Anatuaibisha na hapo alipokwambia aende na mwanamke ktk promise na ww ungenda na demu mpya miaka 19 kubabake mwenye mzigo mnaonana nae kisha unaondoka na baby wako njoo zenj nikupe vitoto vyeupe baba ule mama ya nchi
 

Niko single ila sasa nimesoma thread yako ulioyandika umesema hutaki "mwanamke mnene" DuhπŸ˜‚
 


You look uko open sana and nothing you hide from women, wanawake wote hawapendi hivyo, hata kama unampenda sanaaa, usimwonyeshe unampenda, wala usitamke tamke unampenda, don’t be easily accessible akikuhitaji, wewe umejiweka open sana, wanawake hawataki hivyo, wanawake wanataka little drama, hata akikutumia sms kaa masaa 2 ndio umjibu, akikupigia usipokee hadi dak 30 mrudie mwambie ulikuwa busy, akiomba fedha usiseme no, mwambie sawa, subiri kidogo tutaongea, unampa drama yaani hakuelewi vema, hapo atapata wivu na kuona akizubaa atakukosa, ataanza kukufukuzia, ndio mapenzi yao yalivyo ya kiswahili swahili..!!

You were too soft, ndio maana wamekukimbia, unanyenyekea sana wanawake, lazima wakukimbie, hata bedroom ukiwa soft sana, wanakuacha, mwandae vya kutosha, be very clean, be rudy a bit sometimes and rough kitandani, hard and softness later, eat her deeper and squeeze her firmly, be like lion, acha kuwa rojorojo, alafu mwache, don’t over text her kila saa sms kibao, sijui simu kibao, acha hizo tabia, atakuchoka, mwanaume hutakiwa hivyo, give her space, atakukumbuka, sio kila saa mwanaume unaanza bby sijui nn, Love nimekumiss, mara ooohh bby nimekuota, sijui nn, acha hizo, baki na hisia zako utaona atakufuata..!!
 
Fanya haya yote kwa mwanamke ambaye anakuheshimu na anaonyesha nia ya kupambana na wewe tu.
 
Nakushauri usikamie kuoa, kitika mahusiano yako mapya. Kama unataka kamia kupata mtoto kutoka muda. Katika mchakato mke atapatikana tu. Zingatia wadau Wanasema usiwe desperate.

Labda kama unatatizo la kupiga show, hapo Nenda tiba mpadala kwanza kabla ya kufanya kazi ushauri huu.
 
Dada zetu hao wanapenda bad boys,ila baadae sana baada ya kuumizwa na kutendwa na kuzalishwa wanaanza kutafuta good/nice boys,yaani hutafuta kitu ambacho mwanzoni walikuwa nacho na kukidharau.

Mwanangu wewe kaza concentrate na mambo yako mke atakuja mwenyewe na husibadilike kitabia,eti uwe bad boys kuwa hivyo hivyo ndivyo Mungu alivyo kuumba,unaweza ukasema uchange kidogo eti uwe bad boys ukaja kupotea mazima.

Honestly wanawake ni wa kuonewa huruma hawajawahi kujua wanacho kitaka, kuna mabinti wawili yaani ni majirani ambao tumekuwa kama ndugu,wamekuja kuzalishwa na watu wa hovyo, wakati kulikuwa na wana walikuwa wapo tayari kwa kila kitu, mmoja kazalishwa na muimba singeli,mwengine bodaboda, maana walikuwa wanataka bad boys na kweli wamepewa mabad boys kiwango cha lami.

Bro usiumie kichwa concentrate na mambo yako mke wako atakuja mwenyewe.Huyo mwache na mara nyingi huwaga na tabia ya kurudi na kujuta, nimesha shuhudia sana marafiki zangu,achana nae fanya mambo yako.
 

Kwa hiyo akamie kuongeza idadi ya single mamaz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…