Swali kwa Wana Simba, Je Uzi wa live Updates Wydad vs Simba niuanzishe lini?

Swali kwa Wana Simba, Je Uzi wa live Updates Wydad vs Simba niuanzishe lini?

Watu wameshoshwa midomo[emoji850][emoji850][emoji850]
Kumbe mwarabu anaogopeka akiwa kwao kiasi hiki
 
Jitahidi jitahidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mi naweza Mtani [emoji1787][emoji1787] unakuta napitaga kama sijui kusoma vile [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushavuka viwango vya WB ktk uvumilivu.
 
Hawa Mikia wamekuwa na kiherehere sana cha kuwahi kuanzisha nyuzi za live updates hata mechi zisizowahusu. Wanakaa kusubiria saa 6 usiku kuamkia siku ya mechi wanaanzisha Uzi.

Sasa nawauliza je hii mechi wanataanzisha Uzi lini? Kama hawawezi kuanzisha nawauliza Je Mimi mwarabu feki niwaanzishie uzi lini?
Uwepo wako duniani ni matumizi mabaya ya manii
 
Wee nae sasa lini uliwahi mfunga Wydad tena Robo final CL???

Umevurugwaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mikia hamna vision, makombe yenu ni kuzifunga timu kwa mkapa. Uwanja mumeuroga kila kona umejaa matunguli na mapaka meusi. Mkienda nje mnahaha.
Yanga ni timu ambayo kwa sasa inaandaliwa kucheza professional football sio nyumban ama away.

Simba imejaa mashabiki mbumbumbu na ma barmaids wenye mihemko na makelele ya kitoto.
 
Hawa Mikia wamekuwa na kiherehere sana cha kuwahi kuanzisha nyuzi za live updates hata mechi zisizowahusu. Wanakaa kusubiria saa 6 usiku kuamkia siku ya mechi wanaanzisha Uzi.

Sasa nawauliza je hii mechi wanataanzisha Uzi lini? Kama hawawezi kuanzisha nawauliza Je Mimi mwarabu feki niwaanzishie uzi lini?
Leo kama hutaukimbia weekend ikifika weekend asiukimbie
UJINGA NI KIPAJI
 
Back
Top Bottom