mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushavuka viwango vya WB ktk uvumilivu.Jitahidi jitahidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi naweza Mtani [emoji1787][emoji1787] unakuta napitaga kama sijui kusoma vile [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutawashangazaaa.Mavi yakale hayanuki.. Ijumaa iyo hapo keshokutw mtajutaa mbwa nyie[emoji23][emoji23]
Nakusubiria ijumaa nihahe vizuriUna muhaho we dada[emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee weee.Hatimaye kisasi chetu kinaenda kulipwa na Wydad, zile goli 7 mlizotupiga kwa Mkapa zinaendwa kuwarudia
Yaani kutufunga mara 1 tu,wanashangilia mwez mzima...Wapuuz sna mikia wametulia utadhanin wamemwagiwa maji barid ,kuwafunga yanga walijiona weu
Polee in advance [emoji23][emoji23] maana mtachapika sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee weee.
Sikupatii picha utavyokuwa umenuna baada ya bao la 17 kutunga kunyavuNakusubiria ijumaa nihahe vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee wee horoya koko wa karume, msimbazi tuna jambo letu pale Casablanca.Polee in advance [emoji23][emoji23] maana mtachapika sana
Duuh 17 tutake radhiSikupatii picha utavyokuwa umenuna baada ya bao la 17 kutunga kunyavu
Uwepo wako duniani ni matumizi mabaya ya maniiHawa Mikia wamekuwa na kiherehere sana cha kuwahi kuanzisha nyuzi za live updates hata mechi zisizowahusu. Wanakaa kusubiria saa 6 usiku kuamkia siku ya mechi wanaanzisha Uzi.
Sasa nawauliza je hii mechi wanataanzisha Uzi lini? Kama hawawezi kuanzisha nawauliza Je Mimi mwarabu feki niwaanzishie uzi lini?
Riraaaksi Mtani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Riraaaksi
Tutafanya kazi gani wakati wazee mumegoma kustaafu mpaka kifo kiwatoe maofisini.Vijana mnafanya kazi saa ngp?
Mikia hamna vision, makombe yenu ni kuzifunga timu kwa mkapa. Uwanja mumeuroga kila kona umejaa matunguli na mapaka meusi. Mkienda nje mnahaha.Wee nae sasa lini uliwahi mfunga Wydad tena Robo final CL???
Umevurugwaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wajinga tu haoUto Mna fujo sana, sijui ikitokea mkafika fainali tutaweka wapi nyuso zetu
Kabisa asiutoe mwiko,pembeni kibu deee mkandaji akishughulikaAnzisha hata sasa hivi huku ukiwa umekalia ule mwiko wenu huko nyuma
Hatimaye kisasi chetu kinaenda kulipwa na Wydad, zile goli 7 mlizotupiga kwa Mkapa zinaendwa kuwarudia
Wanakaa kwa shemeji zao..mshahara ni kwa Dada zao kuongeza dozi ya kukata viuno kwa waume zaoVijana mnafanya kazi saa ngp?
Leo kama hutaukimbia weekend ikifika weekend asiukimbieHawa Mikia wamekuwa na kiherehere sana cha kuwahi kuanzisha nyuzi za live updates hata mechi zisizowahusu. Wanakaa kusubiria saa 6 usiku kuamkia siku ya mechi wanaanzisha Uzi.
Sasa nawauliza je hii mechi wanataanzisha Uzi lini? Kama hawawezi kuanzisha nawauliza Je Mimi mwarabu feki niwaanzishie uzi lini?
UJINGA NI KIPAJI
Kabisa yaani. 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushavuka viwango vya WB ktk uvumilivu.