mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Hawa Mikia wamekuwa na kiherehere sana cha kuwahi kuanzisha nyuzi za live updates hata mechi zisizowahusu. Wanakaa kusubiria saa 6 usiku kuamkia siku ya mechi wanaanzisha Uzi.
Sasa nawauliza je hii mechi wanataanzisha Uzi lini? Kama hawawezi kuanzisha nawauliza Je Mimi mwarabu feki niwaanzishie uzi lini?
Sasa nawauliza je hii mechi wanataanzisha Uzi lini? Kama hawawezi kuanzisha nawauliza Je Mimi mwarabu feki niwaanzishie uzi lini?