Swali kwa wanaoamini uwepo wa Mungu

Kwanini mnaomba maisha marefu hapa duniani wakati kuna maisha mazuri mbinguni kwa baba?

Kwanini kifo kinaogopwa wakati ni njia ya kwenda kwa baba kula raha, kufurahia maisha mazuri yasiyo na dhiki?
Tatizo ni hiyo njia, kama hiyo njia ingekuwa nayo ni ya raha basi kusingekuwa na mwenye kuogopa.
 
Kuna masuala ya kuhusu afya yakiwa presented kama sayansi ila unakuta kila mmoja anaeleza lake tofauti na mwenzie.
 
Hapo shida shida ni hawa waamini kusema imani sio imani bali ni hakika🤔🤔🤔
Na ukiamini huku ukiwa hauna uhakika na unachoamini basi hiyo imani yako inakuwa ni ya mashaka.

Hili neno uhakika halina maana ya kuwa ndio ukweli na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…