Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Tatizo ni hiyo njia, kama hiyo njia ingekuwa nayo ni ya raha basi kusingekuwa na mwenye kuogopa.Kwanini mnaomba maisha marefu hapa duniani wakati kuna maisha mazuri mbinguni kwa baba?
Kwanini kifo kinaogopwa wakati ni njia ya kwenda kwa baba kula raha, kufurahia maisha mazuri yasiyo na dhiki?