Swali kwa Wanaume

Nimecheka hapo alipoandika allergy yake imerudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeamini Wanaume kweli hawakosi cha kuongopa
 
Nimeng'atwa na kamdudu panawasha (huku unaendelea kukuna) nimekuna hapo hadi pamekua hivi.
 
Kuna mdada mmoja kazini nadhani ana matatizo yake baby,yaani nimempa hug kaningata makusudi sijui hili iweje,kesho ntampa kavu za uso na ntapunguza mazoea naye huku umekaza sura na mimacho.
 
Si wajua siku hizi jua ni kali sana mke wangu, sasa kipindi cha mchana nikapumzika chni ya ule mwembe mkuuubwa pale karibu na nanihii, si ndo ghafla chavichavi akanitambaa shingoni basi dah anawasha kweli, hebu nipatie jivu la moto kidogo nipake!.
 
Kama Mimi ni mke wa huyo...
Akija hivyo ni MITAMA tuu mpaka achanganyikiwe.
Na lialama lenyew linavyochelewaga kuisha.
Nitamnyuka mpaka maji aite Mmah.
Kumwacha simwachi na mkong'oto utakuwa dozi mpaka alama iishe.
 
Kama Mimi ni mke wa huyo...
Akija hivyo ni MITAMA tuu mpaka achanganyikiwe.
Na lialama lenyew linavyochelewaga kuisha.
Nitamnyuka mpaka maji aite Mmah.
Kumwacha simwachi na mkong'oto utakuwa dozi mpaka alama iishe.



Hahaha unaweza chezea kichapo hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…