Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Anawajua bhana ,To yeye sio shangazi au hujawahi kumuona ?Kwamba huyo ni mfano wa mshangazi???
Okay nasubiria jibu
Kumbe nahumu kuna mishangazi Duh???!!!!Ndiyo mkuu🥴
Sasa kwa Mungu tunafika jasho limekata kabisaNa mnahangaika kwelikweli 😂😂
Wanajua kupenda au hawana namna ?Chunguza utajua mkuu sema uzuri wanajua kupenda na wana wivu sana hata akibeba mimba una uhakika mtoto atakaa kwenye chumba na sebule huko tumboni [emoji87][emoji87]
Mtafika mnatambaa kwakweli 😃😃Sasa kwa Mungu tunafika jasho limekata kabisa
Muweka mada mwenyew anaanza kuogopa maneno🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watu Wana manenoo🤭
Mkuu kosea vyote ila sio kuoa ,unaweza kuzeek mapema kisa Hawa wanawakemzee huna pumzi😂
Mna tuvitu fulani hivi.... Havichoshi, kila ukishiba unatamani kula tena, na hata hauvimbiwini kweli 😊
😂😂Umelitafuta jmbo🤣🤣🤣Khaaa🙌
Jamani jamani jamani 😃😃😃Mna tuvitu fulani hivi.... Havichoshi, kila ukishiba unatamani kula tena, na hata hauvimbiwi
Please Naomba nikuone mama!Niachee🥴🤣🤣
kula hela ya pensheni mzee vibinti vitakuua😂Mkuu kosea vyote ila sio kuoa ,unaweza kuzeek mapema kisa Hawa wanawake
Ngoma mchezo mdogo kama hajui hajui tu sema zingine Zina smell kali🤣🤣Jamani jamani jamani 😃😃😃