Eti wanasinzia🤣🥴Nimerudi mrembo
Ukweli binafsi Napenda na natamani mwanamke ambae mwili wake upo well balanced asiwe bonge sana Wala Mwembamba sana.
😂😂😂 tatizo la vibonge unaweza kuwa unapanga nae mipango ya kimaisha dakika 5 nyingi ashasinzia
Chunguza utajua mkuu sema uzuri wanajua kupenda na wana wivu sana hata akibeba mimba una uhakika mtoto atakaa kwenye chumba na sebule huko tumboni 🙊🙊Eti wanasinzia🤣🥴
mbussu ni pilau, mkono ni kachumbari😂Nimefurahi kumbe nawe unajua kupenda? Mie nikajua waupenda mkono wako tu🤒
We ni bonge mkuu nivunje kibubu?🤣🤣🤣Aisee🙌
Je,mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?
Na kwanini?
🤣🤣Nimeona namba 7 tu😊😉1. Mafuta, aliyenona, mbantu!
2. Rangi ya andazi, maji ya kunde, au rangi ya Edeni.
Sababu.
1. Watamu Sana
2. Wanajoto zuri
3. Rahisi kuwakojoza
4. Anaweza kukutengea hata kwenye upaja, kama hajisikii au anaumwa. Na ukaenjoi.
5. Akivaa vinguo vya mtego unaenjoi kumtazama.
6. Kummiliki unasema hapa Nina mtambo, ni kama unamiliki Lamborghini au Kadilaki au V8 flani hivi.
7. Ananirusha Roho na hata nikiibiwa naweza Kufa
Ndukii🏃🏃
Mkuu kuna wamenona wanakua kama furushi.1. Mafuta, aliyenona, mbantu!
2. Rangi ya andazi, maji ya kunde, au rangi ya Edeni.
Sababu.
1. Watamu Sana
2. Wanajoto zuri
3. Rahisi kuwakojoza
4. Anaweza kukutengea hata kwenye upaja, kama hajisikii au anaumwa. Na ukaenjoi.
5. Akivaa vinguo vya mtego unaenjoi kumtazama.
6. Kummiliki unasema hapa Nina mtambo, ni kama unamiliki Lamborghini au Kadilaki au V8 flani hivi.
7. Ananirusha Roho na hata nikiibiwa naweza Kufa
Ndukii[emoji125][emoji125]
Niruhusu nije PmSiyo Bonge Wala kaukau
Mkuu kuna wamenona wanakua kama furushi.