TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
We ni mhaya? Hongera kwa kununua iPhone ni 4s?Jamani natumia iPhone bado sinaiwezea vizuri inanizingua sana.siwezi kutoa like na pia naweza andikq neno likatokea neon kwa mfano.kwa hiyo mkiona mauzauza nisameheni bure.pia natamani nijibu kila comment ila nashindwa.