Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio mana wanaziita "Ntakunyakunyaje"😂Ukivurugika tumbo ghafla unafanyaje boss?
Hahah aisee sasa walishapata jibu la watakunyajekunyaje mkuu?Si ndio mana wanaziita "Ntakunyakunyaje"[emoji23]
Niajiri mimi kwa ajili ya hiyo kazi...Tangu mifuko ya nylon ipiwe narufuku ,basi tunapata tabu sana, maana ilikua inasaidia sana ,unavaa mfuko miguuni then unaivuta Suruali kulee ishatoka[emoji3] [emoji3]
Kwasasa tunatumia hadi dk 10 Suruali haijavuka aisee ,unazunguka chumba kizima huku ukijitahidi itoke ,yaani hatarii[emoji3]
Hua inakuchukua muda gani kufungua hio zipu mkuu?mara nyingi zinakuwa na zipu ambayo kwa haraka huwezi kuiona.
Hahaaa, shida ni kutoka huku miguuni mkuu ila kuishusha huku faster,so kama ni mchafuko wa tumbo haina tabuuUkivurugika tumbo ghafla unafanyaje boss?
[emoji3] [emoji3] utaweza mkuu?, ni mtiti ohoo, ukimaliza kuivua unapumzika na kuvuta pumzi Kwa nguvu kama umetua mzigo uliokua umebebeshwa[emoji3] [emoji3]Niajiri mimi kwa ajili ya hiyo kazi...
Duuh sawa mkuu nimekusoma.Hahaaa, shida ni kutoka huku miguuni mkuu ila kuishusha huku faster,so kama ni mchafuko wa tumbo haina tabuu
Si dhani kama madada poa hii washaifikiria kwamba inapoteza muda wao na uchumi wao kwa ujumla maana kuvua tu dk kazaa sasa kama una ahadi na mtu zaidi ya mmoja si inakuchelewesha[emoji3] [emoji3] utaweza mkuu?, ni mtiti ohoo, ukimaliza kuivua unapumzika na kuvuta pumzi Kwa nguvu kama umetua mzigo uliokua umebebeshwa[emoji3] [emoji3]
Nmecheka aiseer hapo ni msalaUkivurugika tumbo ghafla unafanyaje boss?
Aaaah kazi ndogo hiyo as far as ninayemvua ni mwanamke...[emoji3] [emoji3] utaweza mkuu?, ni mtiti ohoo, ukimaliza kuivua unapumzika na kuvuta pumzi Kwa nguvu kama umetua mzigo uliokua umebebeshwa[emoji3] [emoji3]
Hua inakuchukua muda gani kufungua hio zipu mkuu?