Swali kwa wanawake wanaovaa jeans za kubana

Mwambie aiongeze tena[emoji23][emoji23]
Mie nikienda kwa fundi huwa nahakikisha hadi nguo inanitosha vizuri na nakuwa comfortable ndo namuacha
Hahaa, kwahiyo humuachii mpka nguo itoshe nzuri hii mi huyu nilimpa tu nikamuachia kazi ,nilivyofata hata sikujaribu nikaondoka kufika home dah afu ni mbali kidogo itabidi nimpelekee Fundi mwingine tu.
 
Hahaa, kwahiyo humuachii mpka nguo itoshe nzuri hii mi huyu nilimpa tu nikamuachia kazi ,nilivyofata hata sikujaribu nikaondoka kufika home dah afu ni mbali kidogo itabidi nimpelekee Fundi mwingine tu.

Siku ingine jaribisha pale pale kuavoid usumbufu 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…