sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Siku hizi mkuu Hawa wanawake wameshaona kutongozwa ni kitega uchumi ukimtongoza tu Happ Happ kiznga kizito kinakuja, wanawake wenye mapenzi ya kwel ni wamasai tu, maana hawana makuu, wenyewe wanavaa zao shuka tu wanaridhika na maisha yanaendawana jukwaa
hivi nyie wanawake mkitongozwa na mkakubali mnachuka muda gani kuanza kuomba pesa? au tuseme kunyenga au kuhonga
kuna mdada kumu kanisikitisha sana kwa kweli ata kama hali ya magu tete lakini sio kwa staili ile aliyokuja nayo.. duu!
ndio maaana nauliza hili swali kwa hapa labda siku hizi utaratibu umebadilika kwenye swala la kuhongwa
ebu tujuzane mnachukua muda gani kuanza kuomba hela baada ya kutongozwa
Sent using Jamii Forums mobile app