Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kuchelewesha.Duuh kama meseji za malipo Dawasco
VizurSubiri waje ambao huwa wanawapiga mizinga bwana zao....
Binafsi huwa sifanyi hilo kosa kumuomba m/me pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
anakupima kama utakua ni baba unayechukua majukumu ya kuilea familia(responsibility) ni kitu tunachokiangalia ...financial security...wengine hawatasema hapa...lol ...wewe mmwagie madolari hayo...
kunipima ndio kwa kuniomba laki moja? hyo laki moja nikimpatia ndio kipimo cha kujua ninaweza kuwa na responsibility ya kulea familia??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe unatongoza wauza mihogo ya beseni, what do you expect, really
Kwahiyo akitoa ndo unajua ataijali familia? Vijana wengine wanataka kugonga na kusepa. Hafu mbaya mpo nae mtaa mmoja utajutaanakupima kama utakua ni baba unayechukua majukumu ya kuilea familia(responsibility) ni kitu tunachokiangalia ...financial security...wengine hawatasema hapa...lol ...wewe mmwagie madolari hayo...
Hakuna binti utakayemtongoza asitake pesa kijana, labda wa Olevel wa chips mayai napo jiandae kuzalilika kwa kifungo,nimeshamuweka kando, kama unaona mambo yanaenda tofauti na mategemeo yako sio mbaya ku skip, na maisha yanaendelea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe ndo mambo yenu hayondio ,tunatakaga tall,muscular,rich,they are all signs of security mkuu,,,willingness yako ni prove tosha uko mbeleni hautaleta matatizo pale unapotakiwa kuprovide,,lol
Kwahiyo akitoa ndo unajua ataijali familia? Vijana wengine wanataka kugonga na kusepa. Hafu mbaya mpo nae mtaa mmoja utajuta
Sent using Jamii Forums mobile app
asilimia kubwa akikubali kutoa wakati mko kwenye uchumba atatoa akiwa baba,hao wabahili ujue hata kwenye familia watakua hivyo….swala la kusepa hayo ni mengine tena...