hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Msomaji Husika na Kichwa Cha Habari kama kilivyo
Swali langu ni kutaka kujua Je ni muda wa saa ngapi Adhana ya Swala ya Alfajiri inatakiwa kuaziniwa?
Nauliza hivyo because, nilikuwa najua ni saa 11 kasoro but now days naona mambo ni tofauti
Adhana inaanza saa Tisa na nusu, then saa kumi Kamili, inakuja tena saa 11 kasoro
Je hivi ndivyo inatakiwa kuwa?
Swali langu ni kutaka kujua Je ni muda wa saa ngapi Adhana ya Swala ya Alfajiri inatakiwa kuaziniwa?
Nauliza hivyo because, nilikuwa najua ni saa 11 kasoro but now days naona mambo ni tofauti
Adhana inaanza saa Tisa na nusu, then saa kumi Kamili, inakuja tena saa 11 kasoro
Je hivi ndivyo inatakiwa kuwa?