Swali kwa wasomi wa Jiografia na Fizikia wenye akili zao, kama ulienda shule kukariri pita mbali

Swali kwa wasomi wa Jiografia na Fizikia wenye akili zao, kama ulienda shule kukariri pita mbali

Jua linazunguka? Kiaje? sijaelewa hapo
Well, jua lina zunguka kutoka upande mmoja kwenda mwingine, watu wa zamani walikuwa hawana saa, hivyo walitumia kivuli cha jua kutambua muda.

IMG_20230708_95753.jpg
 
Tuanze na ww kwanza unaweza thibitisha dunia inazunguka? Ukipata jibu lako ndio tukupe jibu la swali lako
Starlink internet unafikiri inapatikana vipi pasipo internet..

Azam wanatumia eutelsat satellites kurusha vyao ndio maana dishi zinatazama anga..

Satellites zipo angani zinamulika dunia na zinaona dunia inazunguka...

Pasipo satellite kusingekuwa na dstv wala azam dish, hivyo kama satellite zipo uelewe kwamba zipo umbali karibu km 36000 kutoka usawa wa bahari, kwa huo umbali zinaona kila kitu duniani.
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi;
kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
nadharia: Dunia inazunguka pamoja ya anga lake. mfano upande gari labda canter ukakaa kwenye body, likatembea labda 80km/h, ukiruka usawa wa body, huwezi tua sehemu nyingine sababu bado upo kwenye eneo la gari. labda uruke juu zaidi utoke nje ya atmosphere niseme ya gari ndo utatua point nyingine.
 
Well, jua lina zunguka kutoka upande mmoja kwenda mwingine, watu wa zamani walikuwa hawana saa, hivyo walitumia kivuli cha jua kutambua muda.

View attachment 3114343
Kasome geography upya
Vinginevyo kusingekuwepo usiku na mchana kama dunia haizunguki

Usiku jua lisipokuwepo wewe saa yako hiyo ya kibwege waweza jua saa ngapi? Hiyo saa yako tegemea jua?
 
Nje ya mada.

Nakumbuka niliwahi kuchapwa na mwalimu wangu wa physics kwasababu ya kuuliza maswali ya design hii.

Niliwahi kuuliza swali hili; assume una njiwa (ndege) wenye jumla ya uzito wa kilograms 1000 kisha ukawapakia ndani ya ndege (aeroplane) na hao njiwa wakawa wanaruka (wanapaa) pasipo kutua ndani ya hiyo aeroplane, swali; Je, ndege (aeroplane) hiyo itakuwa imebeba uzito kiasi gani? Kwanini?
 
Nje ya mada.

Nakumbuka niliwahi kuchapwa na mwalimu wangu wa physics kwasababu ya kuuliza maswali ya design hii.

Niliwahi kuuliza swali hili; assume una njiwa (ndege) wenye jumla ya uzito wa kilograms 1000 kisha ukawapakia ndani ya ndege (aeroplane) na hao njiwa wakawa wanaruka (wanapaa) pasipo kutua ndani ya hiyo aeroplane, swali; Je, ndege (aeroplane) hiyo itakuwa imebeba uzito kiasi gani? Kwanini?
Shule kuna uongo mwingi, na mwanafunzi hapewi nafasi ya kuhoji...

Kumbuka, Hii elimu haitambui uwepo wa Mungu, hivyo sio rahisi kukubaliana na uwepo wa Mungu na ishara zake.....
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Nimeitoa mtandaoni:
If an object floats in the sky and stays there for a while, would the physical location change....

Answer and Explanation:​

No. The object stays at that exact same position as to where it started floating at first.
Note that as the object floats in the sky, then it is moving with the air relative to the surface of the Earth. In other words, both the Earth and the air above it are moving around over the same frame of reference. That is, they are both rotating at one revolution per day. Just like with the air, the object also moves with the surface of the Earth--making it to be stationary/fixed to its initial position.
 
Shule kuna uongo mwingi, na mwanafunzi hapewi nafasi ya kuhoji...

Kumbuka, Hii elimu haitambui uwepo wa Mungu, hivyo sio rahisi kukubaliana na uwepo wa Mungu na ishara zake.....
Hapo uongo upi ? Hebu thibitisha kama geography wewe ulisoma kuelewa sio kukariri
 
Mwalimu alinichapa nikaichukia sana fizikia
Masomo ya sayansi ni kama kufundishwa kukariri Kuruani na kuelewa yale maandishi ya kiarabu kujua kusoma na kuandika kutoka kulia kwenda kushoto

Lakini masomo pekee unayoweza pata hata mia kwa mia level yeyote ni hesabu na fizikia hayo mrngine utapeli mwingi ohh elezea sababu za mkoloni mjerumani kukataa kuipa uhuru Tanzania

Itategemea mwalimu anayesahihisha na kama anakupenda au anakuchukia aweza kuwa biased lakini maswalinya fizikia na hesabu yamenyooka mwanafunzi akipata kapata nwalimu hana ujanja
 
Ukiwa ndani ya gari siti ya mbele, ukarusha peni juu, je itaangukia siti ya nyuma au itarudi hapohapo ulipokaa siti ya mbele??
Itaangukia hapo hapo ulipokaa coz na yenyewe inakua kwenye motion ya speed ile ile ya Gari,

Ndio maana Gari ikifunga breki ya Ghafla,abiria lazima wasogee mbele coz walikua kwenye same speed ya Gari.
 
Back
Top Bottom