Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Kwenye dunia na Kwenye sayari nyengine pamoja na nyota na mwezi kunakuwa na kitu kinaitwa tabaka la anga hewa, ambapo tabaka hili linatenganisha sehemu mbili eneo la ndani ya sayari na eneo la nje ya sayari."Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"
Nadhani swali limefanana hivi;
kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?
Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Sasa bwana maeneo haya mawili yametengwa na tabaka la anga hewa yani lile eneo la nje ambapo huko mtu anaweza kuelea na wala hakuna oxygen alafu kuna hili eneo la ndani ambalo sisi ndio tunaishi lenye oxygen, eneo hili ndilo tunalo ishi sisi. Ambalo mvua hutunyesheaga
Sasa twende kwenye swali lako kwanini kama dunia inazunguka vitu huwa hawavipotei mwelekeo wake mfano ndege
Kwa kawaida eneo la ndani limezungukwa na hewa ambayo sisi tunapumulia na ndege hupaa kwa sababu ya uwepo wa hewa hiyo ambayo ni oxygen, hydrogen, carbon nk hewa hii ipo ndani ya eneo la dunia yani kwenye sakafu ya dunia na inashikiriwa na kitu kinaitwa gravity, kwa kawaida gravity ya sayari huwa na nguvu sana kwenye sakafu ya dunia na ndani ya dunia kwenye core hivyo hii hupelekea dunia kuwa eneo la ndani lenye mgandamizo wa hewa mbalimbali na eneo la nje ambalo halina gravity yoyote
Gravity ni ile nguvu ya sumanku kwa jawaida sumanku huwa na nguvu ndogo endapo utakaa nayo mbali likini sumanku hiyo huwa na nguvu kubwa endapo utakaa nayo karibu au kwenye sakafu yake mfano huu ndio sawa na dunia kwa kifupi kuna eneo lina nguvu ndogo ambalo ni nje ya dunia na kuna eneo lina nguvu kubwa za mvutano kiasi kwamba ukiwa katika eneo hili huwezi kucholopoka hatakama dunia itakuwa na kasi gani
Wanasayansi wanasema sisi ni kama sisimizj kwenye dunia hii inaweza kuwa sababu ya vitu kutochoripoka nje na hatimae dunia inakuwa na maeneo mawili eneo la ndani la tabaka na eneo la nje ya tabaka ukikaa ndani zaidi ya dunia basi utashikiriwa na dunia na ukikaa mbali basi hauta shikirwa na dunia.