Swali kwa wasomi wa Jiografia na Fizikia wenye akili zao, kama ulienda shule kukariri pita mbali

Swali kwa wasomi wa Jiografia na Fizikia wenye akili zao, kama ulienda shule kukariri pita mbali

"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Wewe bado sana una madufu kichwani
 
Dunia haizunguki, dunia ni tambarare.

Maji hayapindi, maji hufuata level iliyo nyooka, pia asilimia 75 ya uso wa dunia ni maji.

Jua linazunguka kutoka mashariki kwenda magharibi.
Likitoka mashariki kwenda magharibi na Dunia ni tamarare haizunguki je asubuhi ukiamka unakuta linatokea magharibi si ndio ?
 
Nithibitishe kwa kipi zaidi ya maandishi??

Na tayari nimeandika kwamba asilimia 75 ya dunia ni maji, na maji hayawezi kupinda au kuwa na mkunjo, hivyo kwa kutumia common sense unapata majibu.
Wewe huna hiyo common sense
 
Atmosphere ni sehemu ya dunia mkuu,kwenye atmosphere Kuna gesi mbali mbali pamoja na water vapour ambavyo hushikiliwa na gravitation,pamoja na hayo
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Wewe unazunguka ndege unazunguka na vitu vyote vinazunguka duniani kwa spidi ile ile ya Dunia so unajiona huko kwa bibi Yako hapo lakini tayari mko kwenye mizunguko na kwa sababu Dunia kubwa na wewe ni chembe tu huwezi sense motion
 
Mwendo wa Jamaao (Relative Motion): Kila kitu kilicho juu ya Dunia, ikiwemo angahewa, ndege, helikopta, na sisi binafsi, kinazunguka pamoja na Dunia kwa kasi hiyo ya 1,674 km/saa (hasa kwenye ikweta). Kwa sababu tuko ndani ya mfumo mmoja unaosogea kwa kasi hiyo, hatuhisi mabadiliko yoyote ya ghafla tunapopaa au kuruka. Hii ni sawa na ukiwa ndani ya gari linalokwenda mwendo wa kasi. Ikiwa unaruka ndani ya gari hilo, utaanguka sehemu ile ile, si nyuma, kwa sababu una mwendo ule ule wa gari kabla ya kuruka.
 
Dunia haizunguki, dunia ni tambarare.

Maji hayapindi, maji hufuata level iliyo nyooka, pia asilimia 75 ya uso wa dunia ni maji.

Jua linazunguka kutoka mashariki kwenda magharibi.
Sahihi sana. Watu wanadanganywa kuwa Dunia inalizunguka jua. Ni uongo mkubwa.
 
Dunia haizunguki, dunia ni tambarare.

Maji hayapindi, maji hufuata level iliyo nyooka, pia asilimia 75 ya uso wa dunia ni maji.

Jua linazunguka kutoka mashariki kwenda magharibi.
Malizia vizuri hii point ya mwisho
 
  1. Mwendo wa Jamaao (Relative Motion): Kila kitu kilicho juu ya Dunia, ikiwemo angahewa, ndege, helikopta, na sisi binafsi, kinazunguka pamoja na Dunia kwa kasi hiyo ya 1,674 km/saa (hasa kwenye ikweta). Kwa sababu tuko ndani ya mfumo mmoja unaosogea kwa kasi hiyo, hatuhisi mabadiliko yoyote ya ghafla tunapopaa au kuruka. Hii ni sawa na ukiwa ndani ya gari linalokwenda mwendo wa kasi. Ikiwa unaruka ndani ya gari hilo, utaanguka sehemu ile ile, si nyuma, kwa sababu una mwendo ule ule wa gari kabla ya kuruka.
Imegugo
 
"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"

Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?

Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Zamani Sanaa kipindi Cha Galileo Galilee alipata ku comment kua DUNIA NI KAMA MEZA.

Ila baadae wanasayansi walikua kumpinga kwa kusema dunia ni Kama tufe (spherical)

Walisema point 👉
* Circumnavigation of the earth 🌎
*Aerial photography
*Ship visibility
*Lunar eclipse
*
*
*
*
 
Zamani Sanaa kipindi Cha Galileo Galilee alipata ku comment kua DUNIA NI KAMA MEZA.

Ila baadae wanasayansi walikua kumpinga kwa kusema dunia ni Kama tufe (spherical)

Walisema point 👉
* Circumnavigation of the earth 🌎
*Aerial photography
*Ship visibility
*
*
*
*
*
Jaza point zote
 
Gravitational Force(Nguvu ya mvutano)Kati ya Ndege &Dunia /Dunia & Jua ,hivyo kitu hakiwezi badili Mahali kilipo bila Nguvu ya ziada(kivutwe/kisukumwe)
 
Jua linaonekana kutoka mashariki kwenda magharibi lakini hulioni mpaka kesho tena mashariki kwenda magharibi je Huwa linarudije mashariki
Linarudi kama lilivyo enda, jua linapishana na mwezi. Upande wa jua ndyo huwa mchana, na upande wa mwezi huwa usiku.

IMG_20220929_113601.png
 
Back
Top Bottom