Utekaji ni mbaya sanaa ila hili la Nondo. Sasa wanataka atoke akiwa ameshapona ndiyo asimulie yaliyomkutaSWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
Walikuonesha picha za Lissu ulifanya nini? Wakakuonesha za Sativa ulifanya nini ewe Mtanzania muoga na chawa uliyekubuhu?Hakuna kitu hapa, we uliona wapi mtu toka jana saa 4 usiku kaonekana. Cha ajabu hakuna hata picha yeyote wala video.
Project za watu. Mara alienda ofisini kwa bodaboda mara wasamaria walimleta na bajaji. Pia mhudumu wa hospital anasema hakufika akiwa na hali mbaya, wanachama waliokuwepo usiku wanasema alikuwa na hali mbaya sana.
Keyboard warrior anacheka wenzieWalikuonesha picha za Lissu ulifanya nini? Wakakuonesha za Sativa ulifanya nini ewe Mtanzania muoga na chawa uliyekubuhu?
Kwa dini yetu picha ni haramSWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Mbona kule Palestina zinaonyeshwa tena mbaya zaidiKwa dini yetu picha ni haram
Manaswara haoMbona kule Palestina zinaonyeshwa tena mbaya zaidi
Swala kuwa na Hali mbaya au alitekwa?ana Hali Gani hyo sio kazi yetu kujua.Hakuna kitu hapa, we uliona wapi mtu toka jana saa 4 usiku kaonekana. Cha ajabu hakuna hata picha yeyote wala video.
Project za watu. Mara alienda ofisini kwa bodaboda mara wasamaria walimleta na bajaji. Pia mhudumu wa hospital anasema hakufika akiwa na hali mbaya, wanachama waliokuwepo usiku wanasema alikuwa na hali mbaya sana.
Picha zitakusaidia niniSWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Lissu tulimchangia Damu, sativa tulimchangia nauli ya kuletwa Dar. Unataka tuchukue bunduki tukapigane?Walikuonesha picha za Lissu ulifanya nini? Wakakuonesha za Sativa ulifanya nini ewe Mtanzania muoga na chawa uliyekubuhu?
Katika nchi inayoongozwa na sheria za kiislam. Ktk nchi zinazoongozwa na sheria za kikiristo au kisscular sio haramuKwa dini yetu picha ni haram
Kwa hiyo wewe unapiga picha?Katika nchi inayoongozwa na sheria za kiislam. Ktk nchi zinazoongozwa na sheria za kikiristo au kisscular sio haramu
Upo chiu nije kukupiga?Kwa hiyo wewe unapiga picha?
Hapo kwenye bold..!! Kwani muda wetu kachukua nani?Hili swala emb tujipe muda. Maana kwenye vyombo vya habari ACT inatuhumu Jeshi la Polisi wazi wazi kuwa ni wahusika na wametoa baadhi ya sababu. Nadhani ingekuwa ni project sidhani kama Polisi wangekubali kuwa mbuzi wa kafara kutokana na jinsi walivyochafuka na haya matukio. Tujipe muda kidogo.
Sijaelewa mantiki yako, unataka kujenga hoja gani?SWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo