Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Kumbe wajinga hawana alamaUpo chiu nije kukupiga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wajinga hawana alamaUpo chiu nije kukupiga?
Mnawajeruhi ili mpige nao selfie? Wakati mzima hukuomba picha. Kwanini?SWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Tangu wale jamaa walipodai kuwa yule mama wa BAWACHA kumbe alifumaniwa sijamsikia tena😁Hii inaweza kuwa uzushi kama ya yule mama wa BAWACHA aliyejifanya nae katekwa na kusaidiwa na bodaboda.
Suala la kupigwa picha kimsingi ni uamuzi wa aliyeumizwa, ana uamuzi wa kutunza faragha yake kama mgonjwa.SWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Na katoa amri hiyo hiyo kwa "wasamaria wema" tokea Coco Beach , had alipo "wahishwa" na kutelekezwa kwa mara ya pili pale Makao Makuu ya Chama!SWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Kutekwa ACT ni maigizoo hakuna kitu wana balance tu.....ujinga mtupuUtekaji ni mbaya sanaa ila hili la Nondo. Sasa wanataka atoke akiwa ameshapona ndiyo asimulie yaliyomkuta
Una sema kweli?Kwa dini yetu picha ni haram
Yaani raha yako apigwe picha tu, ili umfoli! Mbona wanaume wapo wengi tu kama hataki.SWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Spinning ya kupotezea mauwaji ya uchafuzi wa serikali za mitaa.Hili swala emb tujipe muda. Maana kwenye vyombo vya habari ACT inatuhumu Jeshi la Polisi wazi wazi kuwa ni wahusika na wametoa baadhi ya sababu. Nadhani ingekuwa ni project sidhani kama Polisi wangekubali kuwa mbuzi wa kafara kutokana na jinsi walivyochafuka na haya matukio. Tujipe muda kidogo.
Lakini nilimsikia akihojiwa na vyombo vya habari vya nje😂...Na mtu mwenyewe alikuwa na hali mbaya sana, hata kuongea hawezi!!...
Nondo amesema alitekwa huku Madereva wa Bajaj na Bodaboda pale Magufuli BT wakishuhudiaNa katoa amri hiyo hiyo kwa "wasamaria wema" tokea Coco Beach , had alipo "wahishwa" na kutelekezwa kwa mara ya pili pale Makao Makuu ya Chama!
Kana kwamba hiyo haitoshi, hata alipo fikishwa hospitalini Agha Khan na kupokelewa kupata matibabu; hata viongozi walio fika kumpa pole, wao pia wakaamriwa kuwa picha ni marufuku!
Na mtu mwenyewe alikuwa na hali mbaya sana, hata kuongea hawezi!!
Hivi pale Magufuli hakuna CCTV hata moja. Inakuwaje eneo kama lile likose kitu kama hicho.
Hata wakati wa purukushani, hakuna mtu hata mmoja aliye ona umuhimu wa kuchukua picha za tukio hilo?
Hayo yote tuyaache, la muhimu uhai wake upo salama.
Kuna picha zimetoka.. Dhamira haikuwa kumuua bali kumjeruhi hasa miguu na mikonoSWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Kama unafuatilia picha tayari zimeonekana na zinatisha sana na kama maelezo ameeleza bayana. Ninyi mnakua kama mashetani, Kwa sababu kama nchi inafuata utawala wa Sheria kwanini wasikamatwe wakapandishwa mahakamani Kwa makosa ya kuichafua serikali? Mnashindwa Nini? Mnajua kwamba hizi ni damu za watu na ardhi inazililia Huko mnakozimwaga? Do you know this?Hakuna kitu hapa, we uliona wapi mtu toka jana saa 4 usiku kaonekana. Cha ajabu hakuna hata picha yeyote wala video.
Project za watu. Mara alienda ofisini kwa bodaboda mara wasamaria walimleta na bajaji. Pia mhudumu wa hospital anasema hakufika akiwa na hali mbaya, wanachama waliokuwepo usiku wanasema alikuwa na hali mbaya sana.
Haya mabumunda hayafuatilii taarifa yanatafuta cheap angle ya kukwepa lawamaKuna picha zimetoka.. Dhamira haikuwa kumuua bali kumjeruhi hasa miguu na mikono
Kwa hiyo wewe unatetea wauaji?!SWALI KWA ZITO :NONDO AKATAA KUPIGWA PICHA?
AU msimamo wa chama kwamba picha za majeruhi hazioneshi kwa jami?
PIA SOMA
- ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
Umeelewa lakini?Nondo amesema alitekwa huku Madereva wa Bajaj na Bodaboda pale Magufuli BT wakishuhudia
Unataka aseme nini tena?!
Nenda hapo Mbezi kawaulize Bajaj na Bodaboda usituchoshe bwashee 🐼Umeelewa lakini?
Haiishii au kuhusu kwenye "... yeye aseme nini."
Jifunze kusoma na kuelewa kilicho andikwa.
Hizi bangi za uzeeni sasa zimekuzidi kimo.Nenda hapo Mbezi kawaulize Bajaj na Bodaboda usituchoshe bwashee 🐼
Bajaj ya Mnyika inapaki pale pale Magufuli, muulize kijana wa J J