SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

[emoji38][emoji38]
Hawa wanaume wa Dar wanakaa kwenye kioo nusu saa ndo mana[emoji85]
images-18.jpg
images-17.jpg

Hii ungeweka na kapicha ingenoga zaidi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Boss anapitaga huku lkn jamani[emoji40][emoji40]
 
Sisi ndo tukienda mikoani ni kusuuza langu kwa ma dem wao maana wanatushobokea sana.
 
Inavyosemekana kutokana na ubize wa maisha, stress na joto kali eti wanaume wengi sana wa dar...(sio wote ila ni % kubwa) hawana uwezo wa kuwaridhisha wanawake kimapenzi.
Ongeza na chips & kuku wa kisasa.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom