SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

Wanaume wa dar na wa kanda ya ziwa hawachekani.
1.wanaume wa dar wengi ni maba...ha.
2.wanaume wa kanda ya ziwa wengi ni wash..ba kupindukia.
 
Kama mnasema jogoo hawiki

Ajitolee mmoja tumfanyie majaribio
Mtaona alafu issue ya kuzarau wanaume wa dar

Mnaanza kuleta habari za wamekufa wamasai mia na mchaga mmoja nyambaaafu
 
Heri mimi nimehamia Dodoma.
Lakini kwa muda huu bado serikali ipo Dar, shauri yenu mtafungiwa vinokia vyenu.
 
Tumeanza kuamka sasa wanaume wa dar... Mnasemaje nyie mijibwa ya mikoani..... Mkija huku mnatutilia aibu sana.chakula cha familia nzima wewe peke yako unafuta. . Hata mjipendekeze vipi hatuwakaribishi...mkija mnakera sana. Eti nipeleke uwanja wa Taifa ooh Mara baharini, Mara daraja lilijengwa baharini daaah tunawachoka kweli mkija huku..... Sisi tukija huko Dada zenu hata hatutongozi.wakijua tuu wa dar hahaaaaa mpk unawakimbia eti nyinyi mnanuka vikwapa halafu mnawasugua kama mnapiga mswaki... Kumbe wenzenu tunabembelaza... Kushikanashikana tuu ni masaa mawili bado mchezo wenyewe.nyie kulima tuu kama mang'ombe.... Viazi mnalima nyie cc tunavitengeza halafu mkija tunawapiga bei za maana... Wanaume wa mikoani mtaendelea kuwa wamikoani tuu... Na mtaendelea kuwa washamba tuu... Na sasa hivi mkitaka kuja huku mtakuwa mnalipia kwanza pale chalinze mnakuja mnatumalizia hewa tuu
kweli wanume wa dar mnajua mipasho aroo kwa style hii asee kazi ipoo
 
eea94e0aa8f272ec92fc66c9b886c431.gif
 
Hao wake zenu wanapokuja dar hadi huruma tunavowapakua akirudi huko kabadilika unaanza kumpiga migumi.
Tukisafiri sisi ndo kabisa wala hatuna haja ya kutongoza akisikia tu umetoka dar basi tayari mtoto kesha loa.
 
kweli wanume wa dar mnajua mipasho aroo kwa style hii asee kazi ipoo
Siyo mipasho ndo uhalisia..... Wanajifanya wajanja wa mikoani wakati kila kitu kinatoka huku..... Hela huku, vocha za mitandao yote huku, mafuta ya magari na ya taa yoote ni huku... Sasa nyinyi huo ujasiri mnaupata wapi? Ngoja tutazuia siku moja halafu mwone umuhimu wa vidume vya Dar..... Ujanja mwiiiingiiii mbele Giza...... Wake zao ndo usiseme wakija huku tunavyowafanya hadi huruma.....
 
kweli wanume wa dar mnajua mipasho aroo kwa style hii asee kazi ipoo
Siyo mipasho ndo uhalisia..... Wanajifanya wajanja wa mikoani wakati kila kitu kinatoka huku..... Hela huku, vocha za mitandao yote huku, mafuta ya magari na ya taa yoote ni huku... Sasa nyinyi huo ujasiri mnaupata wapi? Ngoja tutazuia siku moja halafu mwone umuhimu wa vidume vya Dar..... Ujanja mwiiiingiiii mbele Giza...... Wake zao ndo usiseme wakija huku tunavyowafanya hadi huruma.....
 
Siyo mipasho ndo uhalisia..... Wanajifanya wajanja wa mikoani wakati kila kitu kinatoka huku..... Hela huku, vocha za mitandao yote huku, mafuta ya magari na ya taa yoote ni huku... Sasa nyinyi huo ujasiri mnaupata wapi? Ngoja tutazuia siku moja halafu mwone umuhimu wa vidume vya Dar..... Ujanja mwiiiingiiii mbele Giza...... Wake zao ndo usiseme wakija huku tunavyowafanya hadi huruma.....
Mkuu umesahau na hili"Tumewageuza Ng'ombe wa shamba kutwa kutulimia siye tunakula na kuwatupia Cash"
 
Back
Top Bottom