[emoji38][emoji38]
Hawa wanaume wa Dar wanakaa kwenye kioo nusu saa ndo mana[emoji85]
Hii ungeweka na kapicha ingenoga zaidi
Wanamuogopa scorpion amekaribia kutoka jelaAaah kijana unataka tuje tukusaidie kupambana na panya road au unataka tuje kufanya nini
Ongeza na chips & kuku wa kisasa.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inavyosemekana kutokana na ubize wa maisha, stress na joto kali eti wanaume wengi sana wa dar...(sio wote ila ni % kubwa) hawana uwezo wa kuwaridhisha wanawake kimapenzi.
Naona unatoa [emoji95] mubashar...[emoji15] [emoji15]sasa kama kuna thread imeanzishwa kuhusu same topic kwa nini usiende kuchangia huko badala ya ku duplicate uzi mnatuchosha afu mnajaza servers za watu.
Wanaume wa dar wanajibu hivihivi kwa maringo, we wa dar typicalMimi sio wa Dar buana
Kilambalambila hahaha mkuu hilo jina tubadilishaneWanaume wa dar wanajibu hivihivi kwa maringo, we wa dar typical
Mkuu lina nini aisee hiki jina?Kilambalambila hahaha mkuu hilo jina tubadilishane
Zuri saana sema haujajua kulibrandMkuu lina nini aisee hiki jina?
Hahaha...Haya mkuu, hilo sio la dar lakiniZuri saana sema haujajua kulibrand
Hadi amalize kusikiliza ile nyimbo ya [emoji444] ...KWANI INA TV NDANI..[emoji447][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Boss anapitaga huku lkn jamani[emoji40][emoji40]
Sample murua hii, ndivyo walivyo
Hawa ndio wanaume wa dar typically
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hadi amalize kusikiliza ile nyimbo ya [emoji444] ...KWANI INA TV NDANI..[emoji447]
Ndio anakuja huku...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]