ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Wajumbe wa jukwaa amani iwe nanyi,
Binadamu tuna majukumu mengi sana hapa duniani, lakini jukumu moja na muhimu zaidi ni kuzaa watoto, kuwalea na kuwawezesha ili nao wazae watoto na kuendeleza jamii yetu. Lakini hatuzai tuu hovyo hovyo, lazima tutafute wenza wenye uwezo wa kuzaa na kulea/kutunza hao watoto tutakaozaa. Kwa maana hiyo kila mtu lazima atafute mwenza, amtathimini kama anao uwezo wa kuzaa na kulea watoto. Hili jambo la kutafuta wenza na kuwafanyia analysis linafanywa na KE pamoja na ME pia, tena tunalifanya bila kujua lengo lake (Unconsciously)
JINSI WANAWAKE WANAVYOTAFUTA WENZA:
Mwanamke yeye analo jukumu la kuchagua ME wa kuzaa nae, lazima ahakikishe kuwa huyo mwanaume anao uwezo wa kuhudumia familia itakayoundwa. Kwa maana hiyo, ni jambo la kawaida na haki kwa mwanamke kumchagua mwanaume mwenye PESA. Kumbuka, pesa ndiyo itakayoleta chakula, mavazi, malazi na kulipia huduma za elimu na afya kwenye familia.
Jukumu la mwanamke ni kuzaa watoto ili kuunda familia, jukumu la mwanaume ni kuhudumia familia.Familia inahudumiwa kwa kuwepo kwa fedha, na fedha italetwa na mwanaume kwenye familia (ata wanawake wanaweza pia). Mwanamke atamtambua mwanaume mwenye fedha kwa kuangalia uwepo wa vitu kama; gari analoendesha, viatu alivyo vaa, nguo, nyumba na mtaa anamoishi. Wakati wa kubaini uwepo wa hivyo viashiria vya uwezo wa ME kuhudumia familia, mwanamke atamchunguza mwanaume bila kuonekana kama muhuni huko mitaani.
JINSI WANAUME WANAVYOTAFUTA WENZA:
Mwanaume yeye ni muhudumu wa familia, anahitaji mwanamke wa kuzaa nae watoto. Mwanaume atamchagua mwanamke mwenye uwezo wa kuzaa. Hivyo mwanaume(sidhani kama ni wote) atamchagua mwanamke mwenye hips nzuri, kalio la kutosha, nyonyo ya maana na umbo zuri kwa ujumla. Sasa jamii inapotuonea wanaume ni wakati tunawachukuza wanawake kama wanafaa kuwa suitable mates, mwanaume atamdadisi mwanamke kwa kumpiga chabo (ogling). Mwanaume akikutwa anapiga chabo anaonekana kama mtu asiye na tabia nzuri ili hali anatimiza wajibu wake. Matokeo yake wanaume wamekuwa wakitimiza huu wajibu kwa kujiiba ili kuepuka kuonekana wahuni.
Kwa nini iwe haki kwa mwanamke anapomchunguza mwanaume kama anayo pesa ya kutosha kuhudumia familia lakini ni haramu kwa mwanaume kumchunguza mwanamke kama anao uwezo mzuri wa kuzaa kwa kuangalia umbo lake?
Wanawake nao wanatupiga chabo kwa kiasi kibwa sana, ila sii rahisi kubainika kwa sababu wana 'strong peripheral visions' kitu kinachowasaidia kupiga chabo bila kugeuza shingo.Sisi wanaume tuna 'strong tunnel vision than peripheral' yaani tunaona zaidi wima kwa mbele kuliko pembeni, ndio maana inatubidi tugeuze shingo wakati wa kupiga chabo, matokeo yake tunaonekana wahuni na watu wasiyo na maadili mema.
Baada ya hayo maelezo machache nauliza. KWA NINI JAMII INATUNYANYASA WANAUME NA KUWAPENDELEA WANAWAKE?
Binadamu tuna majukumu mengi sana hapa duniani, lakini jukumu moja na muhimu zaidi ni kuzaa watoto, kuwalea na kuwawezesha ili nao wazae watoto na kuendeleza jamii yetu. Lakini hatuzai tuu hovyo hovyo, lazima tutafute wenza wenye uwezo wa kuzaa na kulea/kutunza hao watoto tutakaozaa. Kwa maana hiyo kila mtu lazima atafute mwenza, amtathimini kama anao uwezo wa kuzaa na kulea watoto. Hili jambo la kutafuta wenza na kuwafanyia analysis linafanywa na KE pamoja na ME pia, tena tunalifanya bila kujua lengo lake (Unconsciously)
JINSI WANAWAKE WANAVYOTAFUTA WENZA:
Mwanamke yeye analo jukumu la kuchagua ME wa kuzaa nae, lazima ahakikishe kuwa huyo mwanaume anao uwezo wa kuhudumia familia itakayoundwa. Kwa maana hiyo, ni jambo la kawaida na haki kwa mwanamke kumchagua mwanaume mwenye PESA. Kumbuka, pesa ndiyo itakayoleta chakula, mavazi, malazi na kulipia huduma za elimu na afya kwenye familia.
Jukumu la mwanamke ni kuzaa watoto ili kuunda familia, jukumu la mwanaume ni kuhudumia familia.Familia inahudumiwa kwa kuwepo kwa fedha, na fedha italetwa na mwanaume kwenye familia (ata wanawake wanaweza pia). Mwanamke atamtambua mwanaume mwenye fedha kwa kuangalia uwepo wa vitu kama; gari analoendesha, viatu alivyo vaa, nguo, nyumba na mtaa anamoishi. Wakati wa kubaini uwepo wa hivyo viashiria vya uwezo wa ME kuhudumia familia, mwanamke atamchunguza mwanaume bila kuonekana kama muhuni huko mitaani.
JINSI WANAUME WANAVYOTAFUTA WENZA:
Mwanaume yeye ni muhudumu wa familia, anahitaji mwanamke wa kuzaa nae watoto. Mwanaume atamchagua mwanamke mwenye uwezo wa kuzaa. Hivyo mwanaume(sidhani kama ni wote) atamchagua mwanamke mwenye hips nzuri, kalio la kutosha, nyonyo ya maana na umbo zuri kwa ujumla. Sasa jamii inapotuonea wanaume ni wakati tunawachukuza wanawake kama wanafaa kuwa suitable mates, mwanaume atamdadisi mwanamke kwa kumpiga chabo (ogling). Mwanaume akikutwa anapiga chabo anaonekana kama mtu asiye na tabia nzuri ili hali anatimiza wajibu wake. Matokeo yake wanaume wamekuwa wakitimiza huu wajibu kwa kujiiba ili kuepuka kuonekana wahuni.
Kwa nini iwe haki kwa mwanamke anapomchunguza mwanaume kama anayo pesa ya kutosha kuhudumia familia lakini ni haramu kwa mwanaume kumchunguza mwanamke kama anao uwezo mzuri wa kuzaa kwa kuangalia umbo lake?
Wanawake nao wanatupiga chabo kwa kiasi kibwa sana, ila sii rahisi kubainika kwa sababu wana 'strong peripheral visions' kitu kinachowasaidia kupiga chabo bila kugeuza shingo.Sisi wanaume tuna 'strong tunnel vision than peripheral' yaani tunaona zaidi wima kwa mbele kuliko pembeni, ndio maana inatubidi tugeuze shingo wakati wa kupiga chabo, matokeo yake tunaonekana wahuni na watu wasiyo na maadili mema.
Baada ya hayo maelezo machache nauliza. KWA NINI JAMII INATUNYANYASA WANAUME NA KUWAPENDELEA WANAWAKE?